CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #21
Mama anawatesa sana watu wabaya wa hii nchi,Isicheze na nyota ya mama wewe ni nouma..
Ni nadra Sana kupita siku 3 hujasikia investors wapya Tzn..
Mambo ni fire ๐ฅ๐ฅ๐
View attachment 1957271
View attachment 1957272
View attachment 1957273
View attachment 1957274
View attachment 1957275
View attachment 1957276
Ni sawa kulipwa,Kila kitu duniani ni malsahi. Hakuna jambo lisilo la kimaslahi.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ kwani wewe wamekulipa?umekuwa Baghdad Bob, hope wanakulipa vizuri ๐คฃ
Kwa mazingira haya ya kuwanyanyasa wawekezaji?
View attachment 1957192
Sasahivi wanahangaika kutafutiza loop holes na tu thread uchwara ๐๐๐๐Mama anawatesa sana watu wabaya wa hii nchi,
Mama ni kazi kazi Mzee,
Mungu amlinde sana mama yetu
Nakubaliana na wewe 100%Malalamiko mengi ni juu ya police tu,kila uchwao
Kwa nini hukitumwa wewe? ๐๐
Ko Ma DED wanatafutwa mitandaoni?Kwakuwa mmesikia nafasi za Ma DED bado na Ummy kasema mademu wanawagombania mmeanza kuzisaka eee
NaMKUU UNAWAPA WATU SHIDA SANA,
Waliamini Samia atashindwa, Sasa haya mataarifa yako yanawachanganya sana,
Shikilia hapohapo, Hii ndio siasa sasa,
Kila kitu naushahidi, wanabaki kutukana tu,
Samia ni mpango wa Mungu
๐๐๐๐Mama anajua kila kitu kidogo,
๐๐๐๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Kama humlipi wewe unaumia nini?
Safari hii Chadema mtaripoti kesi ya mbowe tu humu
๐๐๐๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ Hizi zama zilipita
๐๐๐๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ Mwacheni mzalendo afukuze mwizi
Heshima kwako mkuu wangu,Hongera sana Mama Samia Suluhu,
Nikweli wawekezaji walitukimbia wote,
Asante kwa kurejesha imani tena kwa wawekezaji,
Tunakuunga mkono leo na kesho,
Hii ndio Tanzania tuliisubiri,
Mzee CM 1774858 unawapa shida sana wataka mabaya tu, Hongera sana
Amen utukufu ni kwa Mungu,Mkuu CM 1774858 asante kwa taarifa.
Nimekufuatilia sana maandiko yako nimegundua unao uzalendo wa kweli,
Mama Samia nikweli anafanya kazi kubwa wawekezaji wanarudi tena kwa kasi sana tuendelee kumwombea,
Hii habari ni mbaya sana kwa wale wakupinga pinga na kuonesha kuwa mama hafai,
Shida Watu Uzalendo uko kidogo that's why kila muda wanawaza vitu,Ko Ma DED wanatafutwa mitandaoni?
Sawa mbeba pochi wa mamaWanisamehe niko na mama Sana tu,
"Uzalendo ni kusimama na nchi yako wakati wote na Rais pale tu anapopatia "
Nitasema tena na tena maadamu sisemi uongo nitasema tena,
Na
Unamzungumia huyu mama yenu aliyehojiwa na BBC Swahili au kuna mwingine????Hii kwa Mama hapana,
Mama ni Mchamungu sana,
Hawezi fanya haya,
Usione tunamtetea mama tunajua tulikotoka,
Unamzungumia huyu mama yenu aliyehojiwa na BBC Swahili au kuna mwingine????
Huyu