Sasa wafuasi wa raila walibaki na kura zao nyumbani aliibiwa kura zipi?alafu milango ya koti ipo wazi kama mnahisi hapakuwa na justice hamna atakaye wazuia kuenda hukoWacha nikiweka Na fisi lakini dhuluma Na ukadamizaji wa Hali za msingi zipo Mimi. Wizi wa kura wazi halafu naambiwa niatia Dua za msani. Give justice and peace will follow. Heri nikapambane Na hao fisi. Lakini kwa mada yako Tanzania Wana Kijiji cha like sana. Sio mifugo, sasa ni vifaranga!!!!
Huenda hao vifaranga walikuwa ni GMO wenye vinasaba vyenye madhara kwa afya za watu.Kwa Wakenya ni habari mpya, maana kuna baadhi yetu ndio tunaipata.
Natamani Wakenya walione hili na kujifunza pakubwa, kwanza mijitu ambayo hupenda kutanganza vita ndani ya nchi, wajue siku wakiharibu nchi hawana pa kukimbilia, tuijenge nchi yetu na kudumisha amani maana tumezungukwa na majirani waliojawa mihemko ya chuki.
Aisei bora hata mngewalisha hao vifaranga sumu wafe kwanza kabla ya kuwatia viberiti.
Hehehe na ng'ombe za Wamaasai mbona hamkutia viberiti, kali ya mwaka.
Haha jamaa yako kapaniki ,Wacha nikiweka Na fisi lakini dhuluma Na ukadamizaji wa Hali za msingi zipo Mimi. Wizi wa kura wazi halafu naambiwa niatia Dua za msani. Give justice and peace will follow. Heri nikapambane Na hao fisi. Lakini kwa mada yako Tanzania Wana Kijiji cha like sana. Sio mifugo, sasa ni vifaranga!!!!
Tulia uandike vizuri maana sijakuelewa unabwatuka kuhusu nini, mipovu inakutoka, unatetemeka vidole hadi haueleweki unachokiandika, shirikisha ubongo na unachoandika, wacha kujifanya kana kwamba wewe ndiye una jazba kuzidi wote.
Sidhani kama kuna sehemu nimetaja mambo ya kura, au siasa.
Ninachozungumza kuhusu ni wale mnaojiona wababe wa kuanzisha vurugu, mlianzishe mapema muone mtakavyobakwa na kuliwa kwenye nchi majirani mkikimbilia huko. Leo hii wanatia viberiti wanyama wenu bila huruma, kesho ya kesho muonekane mkivuka mpaka kwenda kwao huku mumebeba na watoto eti wakimbizi ndio muone chuki inafanana vipi.
Hii nchi lazima tujifunze kuishi kwa amani, na hili nalisema kwa milengo yote miwili, iwe Jubilee au NASA au NRM au hicho kingine wamejiita sasa.
Anayejifanya kuwa na hamaki zaidi ya wote basi alianzishe tena bila kukawia, ndio tutiwe akili sote baada ya muziki utakaoibuka.
Swali kuntuhivi tuna barrier za kuzuia ndege wa angani? au nao hawanaga magonjwa
Kwanini visirudishwe vilipotoka kuliko kuvichoma moto jamani
Why wachome kumtia mtu hasara,wanaijua biashara ama wanaiskia,na mwingine kakopa huo mtaji sehemu! Acheni kutia wenzenu hasara!
Kwanini visirudishwe vilipotoka kuliko kuvichoma moto jamani
MK254
nigekuwa mod lazima ningekulambisha ban.
swali la kujiuliza; ni vifaranga vilichomwa kwa sababu vilitoka Kenya au kwa sababu ukiukwaji wa sheria, kanuni na taratibu za nchi yetu Tanzania??
halafu wewe unaleta uchochezi eti wamechoma simply because they are coming from Kenya. kwa taarifa yako taasisi husika ambazo zimenuia kuwa na a serious total quality control (tqc) zimechoma mavitu yasiyo na idadi mfano vipodozi, maziwa ya watoto, vyakula vya mifugo nk.
huo uchochezi unaoeneza ili kuharibu mahusiano yaliyopo ni kupoteza muda na no one will pay attention on this crap.
halafu uache unafiki. unajifanya kwa wakenya wenzako unapenda peace na togetherness. unamshauri sana Sammuel999 awe na sense of brotherhood. kumbe kwa majirani wewe ni mchochezi nambari wani.
Kwa Wakenya ni habari mpya, maana kuna baadhi yetu ndio tunaipata.
Natamani Wakenya walione hili na kujifunza pakubwa, kwanza mijitu ambayo hupenda kutanganza vita ndani ya nchi, wajue siku wakiharibu nchi hawana pa kukimbilia, tuijenge nchi yetu na kudumisha amani maana tumezungukwa na majirani waliojawa mihemko ya chuki.
Aisei bora hata mngewalisha hao vifaranga sumu wafe kwanza kabla ya kuwatia viberiti.
Issue ya kuvichoma kisa ukiukwaji wa sheria hapo mpo sahihi, lakini hasira ya kuvichoma vikiwa hai bila huruma inadhihirisha chuki fulani, bora hata mngevilisha sumu vife kwanza.
Mumekua na vituko vya kiajabu kwa siku za hivi majuzi, mara ng'ombe wote wa Wamaasai mkataifisha kisa wametokea Kenya. Ilhali wale jamii wa hapo mpakani ni kabila moja na ndugu hata kabla mzungu hajaja kuwachorea mpaka, kuna ng'ombe wengi hutokea Tanzania na kuja Kenya pia. Badala ya kutafuta jinsi ya kurekebisha, mkajitoa ufahamu na kutaifisha wote tena kwa hasira kali.
Hamna sehemu nimeeneza uchochezi, labda utakua hujui maana ya hilo neno, nimetoa tahadhari kwa Wakenya wote walinde amani tuliyo nayo, maana matukio ya hizo hasira zenu ni wazi kwamba tukijiingiza kwenye machafuko na kuanza kukimbilia kwenu, basi tutakipata.
Ujumbe huo nimelenga Wakenya wote bila kujali chama au itikadi, sasa sijui Sammuel999 umemtag wa nini kana kwamba yeye ndiye anaharibu amani. Mimi nawalenga Wakenya wote, awe Jubilee au NASA au chochote kingine wanachojiita, lazima tuzingatie amani. Hizi sio zama ambazo nchi majirani walikua wanapokea wakimbizi kiulaini, mambo yameharibika, kwanza sisi Wakenya huwa tumesubiriwa sana siku tuwe wakimbizi, ndio tutakoma.
namna ya kuviharibu vitu kama hivyo Mimi si mtaalam. sijui lolote huwa naona bidhaa ikiharibiwa. hata juzi nimeona kwenye SABC wanaharibu Jack Daniel za kughushi. kifupi sijui.
kuhusu mifugo ya maasai hilo ndo tunaiita victim of the situation. madhara ya ukoloni hayatatuacha salama. kwa hilo umeongea kwa uchungu sana lifungulie Uzi wake. usichanganye habari.
pia nimemwita Sammuel999 si kama yeye ndiye anayevuruga amani ya Kenya, bali nimemwita ili ashuhudie uchochezi kwa jirani unavyofanya. tofauti na unavyomsihi awapende wakenya wote bila kubagua
Kuna tofauti kati ya viumbe hai na bidhaa kama mvinyo, nafikiri kama umeenda shule utakua na uwezo wa kufahamu hilo tofauti. Hata mbwa akimuua mtoto wa binadamu, huwa anadungwa sindano yenye sumu ili afe bila mateso, lakini kutia kiberiti kiumbe chochote sio kabisa, lazima kuna kasoro sehemu.
Tulia uandike vizuri maana sijakuelewa unabwatuka kuhusu nini, mipovu inakutoka, unatetemeka vidole hadi haueleweki unachokiandika, shirikisha ubongo na unachoandika, wacha kujifanya kana kwamba wewe ndiye una jazba kuzidi wote.
Sidhani kama kuna sehemu nimetaja mambo ya kura, au siasa.
Ninachozungumza kuhusu ni wale mnaojiona wababe wa kuanzisha vurugu, mlianzishe mapema muone mtakavyobakwa na kuliwa kwenye nchi majirani mkikimbilia huko. Leo hii wanatia viberiti wanyama wenu bila huruma, kesho ya kesho muonekane mkivuka mpaka kwenda kwao huku mumebeba na watoto eti wakimbizi ndio muone chuki inafanana vipi.
Hii nchi lazima tujifunze kuishi kwa amani, na hili nalisema kwa milengo yote miwili, iwe Jubilee au NASA au NRM au hicho kingine wamejiita sasa.
Anayejifanya kuwa na hamaki zaidi ya wote basi alianzishe tena bila kukawia, ndio tutiwe akili sote baada ya muziki utakaoibuka.