Tanzania yatia kiberiti vifaranga 6,400 kutoka Kenya


Jifunze kufuatilia habari kabla ya kuanza kutoa povu. Kuna ng'ombe wengi wa kutokea Uganda na Rwanda wametaifishwa Kagera, unasemaje hapo?

MICHUZI BLOG: SERIKALI YATAIFISHA NG’OMBE 6648 MISENYI KAGERA
 
Sheria ya mwaka 2007 inakataza uingizaji wa ndege na mayai yake katika mipaka ya nchi kwa ajili ya kuzuia maambukizi yeyote hivyo usijiskie tu kupayuka kuwa mnaonewa
 
Damn, anayetaka Kuingiza vifaranga au kufanya biashara na Kenya afanye hivyo kiharali. Na kati za kufanya biashara za magendo zimeisha. Fuata taratibu zinazotakiwa, vifaranga wako watasalimika.
 

TSPCA (cruelty to animals/ukatili kwa wanyama) wako wapi?! Wajitokeze tafadhali.
 
That is what happens when you elect a retard for a president, the whole nation lowers its consciousness to his level
 
Likely hivyo vifaranga vilikua na viji elements vya Tribalism...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…