Tanzania yatoa Tahadhari ya Usalama kwa Raia wake waishio Uingereza kufuatia wimbi la Maandamano na Vurugu za kwa wageni (Xenophobia)

Tanzania yatoa Tahadhari ya Usalama kwa Raia wake waishio Uingereza kufuatia wimbi la Maandamano na Vurugu za kwa wageni (Xenophobia)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
BBC Wamekausha kana kwamba hakuna kitu linaendelea wakati Uingereza imekumbwa na maandamano makubwa ya kibaguzi ambayo yameambatana na uharibifu wa Mali.

Waziri wao Mkuu amekuwa akijiknyaga kanyaga na kutoa vitisho Kwa Waandamanaji huku vurugu Kwa wageni zikizidi kushika Kasi.

Pia soma:
Hali hiyo imemlazimu Balozi wa Tanzania Nchini humo kutoa tahadhari ya Usalama Kwa Raia wa Tanzania wanaoishi huko kwani wanaweza kulengwa na makundi ya wenye msimamo mkali hanayopinga Wahamiaji.

My Take
Kwa Sasa Bora kubakia huku huku Africa kuliko kwenda kuishi huko Ulaya ambako maisha yanazidi kuwa magumu.

=====


g

Chanzo cha picha, Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza

Maelezo ya picha, Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mbelwa Brighton Kairuki

Ubalozi waTanzania nchini Uingereza umewataka Watanzania wote wanaoishi nchini Uingerezakuendelea kuchukua tahadhar kufuatia vurugu zinazoendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo, imesema taarifa ya ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Taarifa hiyo imeendeleakusema kuwa ubalozi utakuwa tayari kuwasaidia iwapo kutatokea na hali yadharura hadi hali iytakaporejea kuwa ya kawaida.

Ubalozi huo umetoabarua pepe na simu za mawasiliano ya dharura kwa Watanzania:

h
Chanzo cha picha, Ubalozi wa Tanzania/ Uingereza
 
BBC Wamekausha kana kwamba hakuna kitu linaendelea wakati Uingereza imekumbwa na maandamano makubwa ya kibaguzi ambayo yameambatana na uharibifu wa Mali.

Waziri wao Mkuu amekuwa akijiknyaga kanyaga na kutoa vitisho Kwa Waandamanaji huku vurugu Kwa wageni zikizidi kushika Kasi.

Hali hiyo imemlazimu Balozi wa Tanzania Nchini humo kutoa tahadhari ya Usalama Kwa Raia wa Tanzania wanaoishi huko kwani wanaweza kulengwa na makundi ya wenye msimamo mkali hanayopinga Wahamiaji.👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1821101502934417839?t=-2hND96wopjWbgdlQQG-Zw&s=19

My Take
Kwa Sasa Bora kubakia huku huku Africa kuliko kwenda kuishi huko Ulaya ambako maisha yanazidi kuwa magumu.

Cc Ngongo
 
IMG_7536.jpeg



Huyo mmoja keshaanza kulia kafukuzwa kazi tayari anajuta kushiriki maandamano.

Wengine washaanza kwenda jela.

U.K. unajua sio muda hayo maandamano yatakuwa historia life goes on.
 
Kutoa uhuru mkubwa kwenye makuzi ya watoto kunawatafuna sana wazungu, hao far-right groups wanafanya ghasia zisizo na mantiki, maana huwezi kufanya vurumai kwa kila mtu kisa ni mweusi au wa dini tofauti kwa kisa kimoja ambacho huenda pia kimechochewa zaidi na hisia za kibaguzi walizozijenga dhidi ya watu wa jamii nyingine.......​
 
Kutoa uhuru mkubwa kwenye makuzi ya watoto kunawatafuna sana wazungu, hao far-right groups wanafanya ghasia zisizo na mantiki, maana huwezi kufanya vurumai kwa kila mtu kisa ni mweusi au wa dini tofauti kwa kisa kimoja ambacho huenda pia kimechochewa zaidi na hisia za kibaguzi walizozijenga dhidi ya watu wa jamii nyingine.......​
Kosa walilofanya wazungu kuruhusu waarabu na wahindi kuingia kwa wingi,wameenda na special mission ya kuzaliana ili wawe wengi waje kutawala ulaya
 
Back
Top Bottom