Tanzania yatoa Tahadhari ya Usalama kwa Raia wake waishio Uingereza kufuatia wimbi la Maandamano na Vurugu za kwa wageni (Xenophobia)

Tanzania yatoa Tahadhari ya Usalama kwa Raia wake waishio Uingereza kufuatia wimbi la Maandamano na Vurugu za kwa wageni (Xenophobia)

Aliyouwa nigaidi mwenye mlengo wa kikristo muimba kwaya wala sio muisilamu acha chuki
Huyo hawezi kuwa Mkristo ni Muislamu maana waislamu wameruhusiwa kudanganya ili kunufaisha uislamu. Hata angekuwa padri ni kwamba anawadaa ili kumwaga damu za watu kunufaisha uislamu maana ndio malengo hasa ya hiyo imani
 
Huyo hawezi kuwa Mkristo ni Muislamu maana waislamu wameruhusiwa kudanganya ili kunufaisha uislamu. Hata angekuwa padri ni kwamba anawadaa ili kumwaga damu za watu kunufaisha uislamu maana ndio malengo hasa ya hiyo imani
Uyo gaidi wa kikristo unamjua vizuri kuliko hao waingereza alipo zaliwa kwao

Musiwe natabia ya kuwakataa magaidi ya dini yenu
 
Kosa walilofanya wazungu kuruhusu waarabu na wahindi kuingia kwa wingi,wameenda na special mission ya kuzaliana ili wawe wengi waje kutawala ulaya
Niliwahi kumsikia mhubiri mmoja wa dini ya kiislam akiwaasa waislam kuhamia kwa wingi Ulaya na kuzaliana kwa wingi eti kwa sababu huko mbeleni Ulaya yote na America yote wao ndio wataitawala na ndio watakaoikalia.

Dunia hii kuna watu wana fikra za ajabu!!
 
Niliwahi kumsikia mhubiri mmoja wa dini ya kiislam akiwaasa waislam kuhamia kwa wingi Ulaya na kuzaliana kwa wingi eti kwa sababu huko mbeleni Ulaya yote na America yote wao ndio wataitawala na ndio watakaoikalia.

Dunia hii kuna watu wana fikra za ajabu!!
Sio kwamba wanaona mbali?,
Na huo ujumbe ukifanyiwa kazi je?,

Baada ya miaka 100, hilo lengo haliwezi kufikiwa?
Maana kama wenyewe wakizaa watoto 10, na wazungu waendelee kuzaa watoto wawili au mmoja , vipi baada ya miaka hiyo, bado Uingereza itakuwa na wazungu wengi au wahindi na waarabu wata dominate.

Nafikiri hizo nchi waanze kufanyia kazi hayo matamko,

Ukiona huyo mmoja tayari ana mawazo hayo, basi jua lisemwali lipo.
 
Niliwahi kumsikia mhubiri mmoja wa dini ya kiislam akiwaasa waislam kuhamia kwa wingi Ulaya na kuzaliana kwa wingi eti kwa sababu huko mbeleni Ulaya yote na America yote wao ndio wataitawala na ndio watakaoikalia.

Dunia hii kuna watu wana fikra za ajabu!
Wapuuzi sana hao watu,pia fujo nyingi zimechangiwa na ukosefu wa ajira kwa wazawa kazi zote zimechukuliwa na wgeni e.g Australia,New Zealand na Canada wadosi ndio wanatawala kila sector
 
Safi. Acha Waingereza wapiganie nchi yao. Nyie endeleeni kuita kuwa ni Ubaguzi huku ni watu wanaopambania nchi yao. Wageni wamejazana Ulaya badala ya kukaa kwa kutulia na kuvuna kilichowapeleka, wao wanakalia kuharibu utamaduni wa maisha ya wenyeji kwa kupeleka utapeli, wizi, unyang'anyi, ujanja ujanja na mambo mengine mengi yasiyofaa.

Wazungu wakilegeza uzi soon Ulaya nzima itakuw akama third world countries. Mpaka panya road watatia mguu. Waendelee kukaza kabis akunusuru wimbi la uhamiaji holela.
 
Kosa walilofanya wazungu kuruhusu waarabu na wahindi kuingia kwa wingi,wameenda na special mission ya kuzaliana ili wawe wengi waje kutawala ulaya
Inabidi wawe waangalifu sana, wanataka jamii yao iwe inclusive wakati kuna vichwa kama waarabu wao wana ajenda ya kueneza imani yao kwa kuzaliana kupindukia......wakati mzungu anazaa mtoto mmoja na kumilii mbwa baasi......watapoeana waache walete ujuaji.​
 
Back
Top Bottom