Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Timu ya soka ya Wanawake ya Tanzania imetwaa Ubingwa wa Soka kwa Nchi za Africa Mashariki na Kati (CECAFA) baada ya kuifunga timu ya soka ya taifa ya Ethiopia kwa magoli 4-1 Mjini Kigali, Rwanda. Kwa Ushindi huo Tanzania imefikisha points 7 baada ya kuifunga Pia Uganda Magoli hayohayo 4-1 na kutoka sare na Kenya ya 1-1. Hapo awali Tanzania ilifungwa na Rwanda 1-0 mechi ya ufunguzi.
Hongera Timu ya Taifa kwa ushindi na Ubingwa huo, mmestahili kwa kweli
Hongera Timu ya Taifa kwa ushindi na Ubingwa huo, mmestahili kwa kweli
Last edited by a moderator: