Tanzania yavunja rekodi kuwa nchi ya kwanza kusimika Intaneti katika kilele kirefu zaidi cha mlima

Tanzania yavunja rekodi kuwa nchi ya kwanza kusimika Intaneti katika kilele kirefu zaidi cha mlima

Tz wakifanya jambo wanapenda kusema wamevunja rekodi ,au ndiyo nchi ya kwanza kuwa na jambo fulani
[emoji1]

Ova
 
Hakuna kitu serikali ya Tanzania itafanya miaka 60 baada ya uhuru kiwe cha kwanza labda kukata umeme mara kwa mara ndio kitu cha kipekee Tanzania inaweza
 
Hakuna kitu serikali ya Tanzania itafanya miaka 60 baada ya uhuru kiwe cha kwanza labda kukata umeme mara kwa mara ndio kitu cha kipekee Tanzania inaweza
[emoji1] [emoji1]

Point

Ova
 
Toka 2017 mlima Everest wana speed internet ya wifi,
 
Nilitaka kushangaa kwa akili zao hawa vilongozi zilivolala wawe wa kwanza? Ingekua ajabu sana
 
Miti imeungua sana majuzi huko tulitarajia mkazo kwenye upandaji miti lakini naona mnaleta siasa za kitoto
 
Duh mawazo mengine, kabla ya kuandika thread hii umejiuliza ni nchi ngapi zina milima mrefu kama Kilimanjaro ulitaka Burundi iwe ya kwanza kusimika je ina mlima mrefu?
Mleta uzi mpumbavu sana
 
Huo mnara umewekwa na serikali au umewekwa na makampuni ya simu?
 
Duh mawazo mengine, kabla ya kuandika thread hii umejiuliza ni nchi ngapi zina milima mrefu kama Kilimanjaro ulitaka Burundi iwe ya kwanza kusimika je ina mlima mrefu?
Acha makasiliko bro
 
Tunaweza kusimika ikawa haifanyi kazi ikabaki haina maana tena.

Mkongo wa Taifa ilitumika nguvu kubwa tukaambiwa internet itakuwa kasi na itakiwa gharama ndogo mapaka leo bado mateso yaleyale tu.
Internet ipo strong na imeanza kutumika na kama haujui Tanzania inaongoza kwa kuwa na gharama ndogo zaidi ya bando
 
Siku ya jana katika maazimisho ya siku ya uhuru waziri wa habari na mawasiliano alifanikiwa kuzindua internet yenye kasi zaidi katika kilele cha Mlima kilimanjaro chenye urefu wa mita 5,895kutoka usawa wa bahari.

Huduma hii ya internet ni sehemu ya kuifungua zaidi Tanzania katika Nyanja za utalii ambapo watalii kutoka katika mataifa mbalimbali sasa wanaweza kupata huduma ya internet yenye kasi zaidi.

kutokana na kufanikiwa kuwepo kw ainterneti katika mlima kilimanjaro Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kusimika huduma ya internet katika kilele kirefu zaidi barani afrika.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuimarisha na kuboresha utalii Tanzania maana utalii ni moja kati ya sekta inayochangia kwa kiasi kikubwa pato la Taifa.

Wazee wa vitu vya kwanza ambavyo havina tija
 
Upo sahihi,sa hivi tumekua na kizazi cha ovyo sana,na uwezo wa kufikiri umepungua.kizazi cha kusifia upumbavu
Upumbumbavu gani bro we haupendi kuona nchi yako inaendelea Rais Samia Suluhu anaendelea kufanya mapinduzi sekta ya utalii
 
Tz wakifanya jambo wanapenda kusema wamevunja rekodi ,au ndiyo nchi ya kwanza kuwa na jambo fulani
[emoji1]

Ova
Record imevunjwa mzee saizi tunaperuzi mpaka kileleni
 
Ujinga ni mzigo aheri ubebe kokoto kichwani na si ujinga.

Eti mambo ya kijinga tunakimbilia kujilinganisha duniani

Yakija ya maana mfano gharama za umeme, kodi za bidhaa n.k tunarudi kujilinganisha na Kenya. Watawala wa nchi hapana kabisa, kwanini hata haya mambo makubwa tusitafute kuwa wa juu duniani badala yake tunajipaisha na mambo haya ya hovyo.

Ama ndo zile, sifa za kijinga.😂😂😂😁
 
Back
Top Bottom