Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia

Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia

Zitto hili amekosea hata kama unapingana na serikali yako sio hivi, Mambo ya ndani ya nchi tujailiane humu ndani,kama unahoja wakilisha sehemu husika,sifa zingine hazina maana,hayo ndo yana mtokea Trump hadi awe impeached kwa sababu za kujijenga yeye kisiasa, nchi siku zote ni muhimu kuliko tofauti zetu za kisiasa,zitto aache siasa za kitoto,vitu vingine ni debatable tu ndani ya nchi yakaisha.
 
Ndugu zangu niwaambie ukweli tena ukweli mtupu nchi yetu ni tajiri sana sisi sio maskini kila siku tunaombaomba tumechokwa tunataka ifike hatuwa wao ndio watuombe tena ikiwezekana na mitumba tuwauzie wao huu ndio ukweli usiopingika sio maneno yangu ya mkulu wenu 🤣🤣🤣
 
Mambo ya ndani ya nchi tujailiane humu ndani,kama unahoja wakilisha sehemu
Huo Uwanja na Uhuru wa kujadiliana humu ndani uko Wapi, yan tufunge safari hadi Chato? no way

Halaf, ni jana tu tumemsikia Mfamaji wa Serikali Hasidi Abunuasi akisema hawajakosa hizo hela, sasa wewe pamoja na Kakilaza kale ka Kongwa mbona mnang'ang'ana kuwa mmenyimwa?

Na Mtukufu Rais John Pombe Joseph Wanzagamba Magufuli si alisema WB wanajua msimamo wake hela watatoa msisumbuliwe na kelele za Vyura??, Au vipi jama ee😀
 
N
Hivi zito ni.muislamu au kafiri kwa hiyo hizo mimba za watoto kwake ruksa

Haelewi wazungu wanachotaka huyu wanataka watoto wetu waharibike Kama walivyoharibika wa kwao

Walianza kufuta adhabu za viboko mitoto ikawa hovyo ,wakaja kuruhusu mimba mashuleni na kuruhusu urafiki wa jinsia moja kuanzia mashuleni

Lengo la sio hasa kutetea mtoto wa kike akizaa aendelee na masomo lengo la wao kubwa Wanataka watoto wengi wa kike wazae wanajua wakizaa hawarudi shule tena sababu ya majukumu ya kulea mtoto na kuwa hata wakirudi wakishazaa uwezo wao wa kusoma utakuwa chini kwa hiyo mitoto ya kike mijinga itakuwa mingi
Hakuna mtu atakaye kulelea mtoto wako watoto wenu mnawalea katika misingi gan??
Sio Kila anaepata mimba anapendaa mtapambna na Hali yenuu
 
Back
Top Bottom