eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 758
Sorry. The beauty of Education incarnates a convoluted brain...your the delinquent of Jamii Forum,try to read to understand.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry. The beauty of Education incarnates a convoluted brain...your the delinquent of Jamii Forum,try to read to understand.
Huo Uwanja na Uhuru wa kujadiliana humu ndani uko Wapi, yan tufunge safari hadi Chato? no wayMambo ya ndani ya nchi tujailiane humu ndani,kama unahoja wakilisha sehemu
Wanangu nawasomesha international schools siwezi kuwapeleka kwenye hizo takataka zenu za shule.
Jitahid uwe na uwezo wa kufikir nje ya boxZito anaroho ya kichawi sana ,kwani misaada ikija yeye anakosa nini?
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu atakaye kulelea mtoto wako watoto wenu mnawalea katika misingi gan??Hivi zito ni.muislamu au kafiri kwa hiyo hizo mimba za watoto kwake ruksa
Haelewi wazungu wanachotaka huyu wanataka watoto wetu waharibike Kama walivyoharibika wa kwao
Walianza kufuta adhabu za viboko mitoto ikawa hovyo ,wakaja kuruhusu mimba mashuleni na kuruhusu urafiki wa jinsia moja kuanzia mashuleni
Lengo la sio hasa kutetea mtoto wa kike akizaa aendelee na masomo lengo la wao kubwa Wanataka watoto wengi wa kike wazae wanajua wakizaa hawarudi shule tena sababu ya majukumu ya kulea mtoto na kuwa hata wakirudi wakishazaa uwezo wao wa kusoma utakuwa chini kwa hiyo mitoto ya kike mijinga itakuwa mingi