yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
The latest Deloitte African PE Confidence Survey indicates that investors interest in TZ has increased from 52% in 2016 to 67% in 2017. This is good news
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ni Taifa la "ZUIA, PIGA MARUFUKU, DHIBITI, Hakuna mwenye maono ya kuweka mazingira sahihi kwa watu KUPIGA HATUA, Tena ukikutwa unajikakamua kupiga HATUA unapigwa "MTAMA" huo BALAA !TZ ingekua inatoa favor kwa wawekezaji wazawa hasa vijana ambao wanaanza hakika nchi ingekua sana uchumi wake,
Tatizo sheria na kanuni bado zinaweka wigo hata kwa wazawa hasa wajasiriamali vijana wanaochipukia....kuwafikia wakenya msahau.
Tanzania ni Taifa la "ZUIA, PIGA MARUFUKU, DHIBITI, Hakuna mwenye maono ya kuweka mazingira sahihi kwa watu KUPIGA HATUA, Tena ukikutwa unajikakamua kupiga HATUA unapigwa "MTAMA" huo BALAA !