joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Naona sasa Kaka kaamua hasa kumkanya mdogo wake tunatoa kipigo Kwa awamu wakifanya jeuri tunaongeza ila sasa hii inaitwa tunakata mirija yoteTanzania imeyataka mashirika na makampuni ya ndege ambayo yanajishughulisha na biashara ya usafiri wa angani Kati ya Kenya na Tanzania, kusitisha huduma hiyo kwa sasa.
MY TAKE: Sina uhakika Kama Uhuni Kunyakunya atafija hata "round" ya tatu bila kunyoosha mikono juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hiki kipigo kitakatifuTanzania imeyataka mashirika na makampuni ya ndege ambayo yanajishughulisha na biashara ya usafiri wa angani Kati ya Kenya na Tanzania, kusitisha huduma hiyo kwa sasa.
MY TAKE: Sina uhakika Kama Uhuni Kunyakunya atafija hata "round" ya tatu bila kunyoosha mikono juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaka huu mtagombana na dunia nzima
na badoMwaka huu mtagombana na dunia nzima
Kuna fidai watapewa kwa hasara watakayopata kutokana na hili agizo?Tanzania imeyataka mashirika na makampuni ya ndege ambayo yanajishughulisha na biashara ya usafiri wa angani Kati ya Kenya na Tanzania, kusitisha huduma hiyo kwa sasa.
MY TAKE: Sina uhakika Kama Uhuni Kunyakunya atafija hata "round" ya tatu bila kunyoosha mikono juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii yote ni mikutano ya lissu kutangazwa/kurushwa na television ya kenya pamoja na bomba la mafuta kupitishwa hukoTanzania imeyataka mashirika na makampuni ya ndege ambayo yanajishughulisha na biashara ya usafiri wa angani Kati ya Kenya na Tanzania, kusitisha huduma hiyo kwa sasa.
MY TAKE: Sina uhakika Kama Uhuni Kunyakunya atafija hata "round" ya tatu bila kunyoosha mikono juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania haiwezi kushindana na Kenya ikashinda.Tanzania imeyataka mashirika na makampuni ya ndege ambayo yanajishughulisha na biashara ya usafiri wa angani Kati ya Kenya na Tanzania, kusitisha huduma hiyo kwa sasa.
MY TAKE: Sina uhakika Kama Uhuni Kunyakunya atafija hata "round" ya tatu bila kunyoosha mikono juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nation's Interest comes first!Kuna fidai watapewa kwa hasara watakayopata kutokana na hili agizo?
Are we gaining or loosing on this decision?Nation's Interest comes first!
And who will loose? How many Tanzanians are employed by these banks? Kweli ujinga ni mzigo.hawamjui Magufuli hapo anawalia mingo ngoja waendeleze hili saga, next all Kenyan banks in Tanzania will be shut down! inabidi Commercial Bank of Africa ianze kwanza maana Kunyatta ana shares huko!
Mjinga kama mama yako! kwahiyo hii vita ya unfair trade tuipigane vipi mbwigambwiga? hata kwenye korosho mliongea hivihivi!And who will loose? How many Tanzanians are employed by these banks? Kweli ujinga ni mzigo.