Hellow, Jamani Nauliza hivi ina kuwaje Serilali yetu inakuwa haifuatilii vitu mapema na inapotokea shida ndo inajifanya kufuatilia na kuunda tume....mfano yule mwanajeshi aliyepiga picha na Lema...hali kuwa wezi wanatuibia rasilimali zetu za utalii na hawakamatwi?????