Tanzania yetu ni moja!... Karibuni sana kitoweo jamani!

Hali ya nchi imefikia kiwango!! Wapo wananchi katika paradisooo...na wapo wananchi katika jahanamooo !! Mungu tuepushe na majangaa.AMIN wakati mgumuu huu.
 
Hali ya nchi imefikia kiwango!! Wapo wananchi katika paradisooo...na wapo wananchi katika jahanamooo !! Mungu tuepushe na majangaa.AMIN wakati mgumuu huu.

mkuu, naona kama ume-escape one vile kutoka kwenye mada...! au sijaelewa vidhuri?!!
 
mkuu hii haiuzwi bana...

its family consumption issue.. hahahaaaa.. ingeuzwa mabuchani ingekuwa noma sana!

Unajua maisha bhana ni kama sijui niitaje...inabidi tutest almost kila kitu kabla hatujafa
 
but vingine mkuu nasikia wanaitaga ni haramu!!

sasa sijui na dini yetu inatuamuruje kuhusu hii kitu?

Bro dini zimeletwa na wazungu/waarabu ukitaka muongozo wa dini kwa kila jambo maisha hayataenda maana utajikuta nawe ni mwanaharamu....
 
Ndo kutuonesha hayo ma-mbwa?

Kutiana kichefchef

heri ungesema kichefchef kuliko kusema upuuzi!

samahani kwa kutiwa kichefchef na hiyo pic mrembo!

but understand others... its their right to do it.. kuwa na tolerance tafadhali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…