Tanzania yote sio Simba na Yanga au Mamipira yenu, mtuache na makelele yenu

Tanzania yote sio Simba na Yanga au Mamipira yenu, mtuache na makelele yenu

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
Jamani Tanzania yote sio Simba na Yanga au Mamipira yenu so mtuache na makelele yenu na matarumbeta, filimbo cjui manini tena. Mnakera sio wote tunapenda mpira so tuheshimiane coz wote tukianza kupiga kelele kwa tunachokipenda kila mtu atachukia.
 
Jamani Tanzania yote sio Simba na Yanga au Mamipira yenu so mtuache na makelele yenu na matarumbeta, filimbo cjui manini tena. Mnakera sio wote tunapenda mpira so tuheshimiane coz wote tukianza kupiga kelele kwa tunachokipenda kila mtu atachukia.
Ziba maskio ulale
 
Sa kama unataka kuwa mwanamke si useme tu wahuni tukukamie😁😁😁
 
Mpira ndo starehe pendwa hapa dunian tena inawaunganisha watu wote ndan ya muda mfupi
 
Mtoto unapenda rede ww sawa pisi kali au ushaanza kuingia period
 
Jamani Tanzania yote sio Simba na Yanga au Mamipira yenu so mtuache na makelele yenu na matarumbeta, filimbo cjui manini tena. Mnakera sio wote tunapenda mpira so tuheshimiane coz wote tukianza kupiga kelele kwa tunachokipenda kila mtu atachukia.
Taratibu kwanza.
Tueleze hicho unachopenda kwanza bwana mdogo
 
Daah inasikitisha sana kwa kweli mwanaume kutoupenda mpira kabisaa ila inawezekana hasa kwa sisi tuliokulia kijijini muda wote ni kuchunga tuu mpira utacheza saa ngapi muda wa kucheza mpira ndio unarudisha ng'ombe kwenye zizi na ndio unatakiwa kukamua tena baadae ...
 
Kwaiyo upige kelele kwa mchezo wako wa ngono
 
Back
Top Bottom