Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

Joined
Feb 25, 2012
Posts
419
Reaction score
2,169
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

8db39f2f-8a0a-4e29-ac26-3817030cad08.jpeg
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW). Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.
Mheshimiwa heshima kwako asee mtu wangu wa nguvu. Nachokuomba mwanangu mtu wangu wa nguvu usinisahau 2030 kuendelea kwenye ufalme wako hata ubalozi ama UDC.

Mungu akulinde kwenye majukumu yako. Mfikishie mama salamu zangu za dhati muambie tupo pamoja hadi 2030.
 
Punguzeni magari kwenye misafara yenu, mnatuumiza.

Swala la ajira kwa vijana litawagharimu sana kama Kenya, muulizeni JK aliwezaje kuajiri kila mwaka, nyie mnafeli wapi?

Na mbona hakuna mradi mpya wa maana mnaoanzisha? Mnatembelea alipopita mwendazake, hamna vision au hamna hela?

Mwisho,mbona tukiwaombea dua mbaya kwa mnavyotutesa haziwashiki ndio kwanza mnazidi kupeta,mnafanyafanyaje
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW). Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.
Mpo vizuri aisee. Pamoja na yale ma VXR yote ya msafara wa mama hamjafilisika....hakika mama anaupiga mwingi😂😂
 
Nchi hii chadema na wafuasi wao ni wapotoshaji Sana nadhani kwasababu hawajabadilisha mwenyekiti wao kwa muda mrefu.
Wangejiuliza wenyewe kwanza haya maswali;
👉🏿Ruzuku za miaka ya nyuma walizoandika kuomba si walipewa zote bil. 2.73, Jibu ni NDYO
👉🏿Ruzuku si wanapokea kila mwezi ingawa matumizi ndo hatujui🤣🤣 jibu ni NDIYO
Sasa kwann wafuasi wa chadema ni wapotoshaji Sana wanapata nn kupitia upotoshaji wao?
Tumewachoka CHADEMA🚮
 
Bajeti wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum inazidiwa na bajeti ya manunuzi ya magari ya viongozi, Na wewe kama waziri wa fedha unaona sawa tu! Wanafunzi wanaketi chini, mmefuta bima ya afya kwa watoto na fedha zinaelekezwa kwenye matumizi ambayo si vipaumbele vya wananchi na haiwagusi wananchi mmoja mmoja! Na wewe kama waziri wa fedha upo na umepitisha!
 
Back
Top Bottom