georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Yes I'm at arround mortuary area at Muhimbili na mwili wake umefikishwa muda mfupi uliopita. RIP KANUMBA
Wadau habari ni za kweli! redio nyingi zimeshatangaza kifo chake,kilichobaki tumuombee kwa mwenyezi Mungu amuweke panapostahili!
Kama ni kweli basi R.i.p kipenzi cha wengi.
Ray kapata pa kutokea sasa
inasemekana ni ajali maeneo ya uhasibu
Afrika bara ambalo uchawi bado una nguvu sana watoto hawashauriwi kuwashutumu wazazi hadharan said:Bara lipi wanaruhusiwa kutukana wazazi wao?