Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Nimeota Ramsey kafunga goal la ushindi against Man six! This time mtu anavuta kwanza then Ramsey anascore!

Acha utani mkuu, watu tupo msibani saa hii.

Kwa hiyo ndo kusema jamaa hawashindi ni mpaka mtu afe?
 
its a sad moment....for Africa actors and the guy was great RIP kanumba....
 
Na zile habari za bifu na mwenzie Ray! Inaweza ikawa mahali pazuri pa kuanzia
 
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe, R.I.P Kanumba, utakumbukwa daima kwa jitihada zako katika tasnia ya filamu nchini Tanzania
 
Ray inabidi ahojiwe na yeye coz hawa watu walikua wana beef na ray alipiga pix za mahaba na lulu ili kumuumiza kanumba so inawezekana ray kachonga mchongo na lulu wammalize,Police wetu wa tanzania mpigeni Pinch Ray ataeleza ukweli.

dah,hlo nalo linapaswa kufanyiwa investigation
 
R.I.P Kanumba, habari zinasema kumwa alivyosukumwa na mpenzi wake aliangukia kisogo ndipo umauti ulipomfika.

dah..!
Huyo binti ana kesi ya kujibu tena ya mauaji.!?
 
huyu Lulu mibalaa inaanza kumkumba, RIP kanumba
 
Ray inabidi ahojiwe na yeye coz hawa watu walikua wana beef na ray alipiga pix za mahaba na lulu ili kumuumiza kanumba so inawezekana ray kachonga mchongo na lulu wammalize,Police wetu wa tanzania mpigeni Pinch Ray ataeleza ukweli.

Duh, haya nayo mengine tena!
 

Nashukuru kwa mawazo hafifu, hivi watu wangapi wanawaponda wazazi wao na hawafi?...hebu acha hizo...
 
R.I.P Steven Kanumba, pole kwa wana familia na tasnia nzima ya bongo movies.

May his Soul Rest in Eternal Peace. Amen
 
Too sad you are gone too soon. Rip Bro
 
mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe ni pigo kubwa sna kwa watz mungu awe mfarigi ktk familia yke ktk kipindi kigumu cha maombolezo
 
Kanumba brother!uliplay part kubwa katika kunishawishi kuingia katika bongo movie enzi za uhai wako!na kuna uwezekano mkubwa nikatoka kutokana na kifo chako!ulikuwa ni zaidi ya mshkaji...RIP ma man steve!...dah!kanumba mkali wangu ni kama ndoto!
 

Ni kweli unayoongea MMM lkn hili lulu hatoki mpaka ije kuthibitishwa ni bahati mbaya ashakula nyundo tano jela!
 
honestly ni mapema mno, he deserved a lil bit f a tym bt who is 2 question Gods decesion? we follow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…