Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Hellow guys, oh its amazing and unbelievable this must have nocked him with nondo eh!
 
CCM hao...si alitangaza nia ya kugombea ubunge Shinyanga??...Na lazima angegombea kupitia CDM.RIP Kanumba.

Mkubwa!
Kidoogo au kwa mbali ! Tuwe tunavaa walau mask kwenye issue nzito ihusuyo maisha ya Binadamu, KUTUCHANGANYIA NA HABARI ZA SIASA! Hapa habari za C.c.m na sijui Chadema, hapa haikua sehemu yake!
Kauli yako inaonesha una elements za kuufurahia msiba huu!
 
Kanumba wiki iliyopita katika kipindi cha Take One kinachorushwa hewani kupitia Clouds TV alimtolea uvivu baba yake, Mzee Kusekwa akidai amechangia katika mateso yake aliyoyapata utotoni.

Baada ya Kanumba kueleza hayo, baadhi ya watu wakiwemo wasanii wenzake walimshangaa na kueleza kuwa kitendo alichokifanya si cha kiungwana kwani mzazi ni mzazi tu, hata kama amekosea si sahihi kumdhalilisha.

Ile bible statement isemayo ''Waheshimu baba yako na mama yako ili siku zako zipate kuwa nyingi'' Ina mahusiano gani na hiki kifo. katika afrika bara ambalo uchawi bado una nguvu sana watoto hawashauriwi kuwashutumu wazazi hadharan, ni hatari sana.

Acheni hizo hukumu zenu bwana...na wale watoto wachanga wafao..
 
RIP Kanumba
Pole Lulu hapo Oysterbay police tulia usiropoke ropoke ndo yeshatokea mdogo wangu.


Mama naona upo kitengo cha police hebu tunyofolee more info i means upo kati ya hizo sehemu, ni kweli yupo oysterbay???
 
This is very sad.

Jana nilipitia Michuzi Blog, nikakuta clip ya Kanumba alipotoka Big Brother Africa.
Alisema kwamba amesikitishwa sana na Watanzania, tulivyomzodoa kwa ajili ya interview aliyoitoa.
Alisema kwamba Watzania tutamkumbuka kwa mchango wake akiwa mzima au akiwa amekufa!

Leo yametokea; Unfinished life.

Rest in peace, The Great Kanumba.

Surely, We will miss you.
 
R.I.P Kanumba

Who is this LULU???? Jana nimenunua ma CD yake kwa ajili ya familia kuchangamka Easter, da sasa hiki kimnyama LULU
 
Tuwe na subira, ni mchakato tu wa kimaisha, wote tutaelekea huko.
 
Ray anaonekana bize kupiga picha wakati mwili unaingizwa muhimbili,leo naona atafanya ka part kimtindo!
 
"Chanzo cha mabaya ni pesa na wasichana Chunga sana alishasema Salu T"----Fid Q
 
Bwana Mungu akupe pumzingo la milele kipenzi cha watanzania ST. Kanumba
 
Miez michache iliyopita hapa kuna thread ilianzishwa kuwa Kanumba kafia kwenye msitu wa Amazon akiact movie.

Tarehe 1/4 sikukuu ya wajinga watu walituma sana sms kwenye BBM kuwa the guy is dead.

ITV Alhamis walikuwa wakonyesha maisha ya Kanumba alipoanza kuagiza..

Jana michuzi alitoa clip ya kujikumbushia kuhusu Kanumba baada ya kutoka BBA.

Today...He is dead kiukweli!

Wewe huwezi kuamini mpaka umeona maiti na ndio maana mpaka leo hii huamini kuwa chama chako cha magamba kilishindwa Aru Meru!!!
 
Back
Top Bottom