Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

redio zetu hakuna coverage kabisa....kanumba was great bana.....tv ndio kabisa..tbc wanapiga mitaarabu yao......
Alikuwa great kwa wapenda maigizo na mashost wote. Nasikia party zote zimecanceliwa, kisa mashost wote wameenda sinza kwenye msiba.
RIP the Great!
 
don-oba
Duh.................................Sasa ugomvi and/or matatizo katika mapenzi unahusiana nini na celebrity status ya mtu?

PS
RIP Kanumba :shock:!
 
RIP Steve Kanumba. Nafsi zote zitaonja mauti isipokuwa wale tu watakatifu watakaonyakuliwa mawinguni wakiwa hai wakati Bwana atakaporejea tena. Binafsi nilikuwa namfagilia sana. Alikuwa ni Role Model kwa vijana wengi. Alikuwa Mbunifu, alikuwa na Kipaji.

Ni last week tu nilikuwa naangalia Movie yake ya Mwisho ya "Kijiji cha Tambua Haki" aliyoshirikiana na "Mke" wake Kajala. Hakuna Movie ya Kanumba ambayo sina. Si kuwa Bongo Movies inafanya vizuri sana katika ukanda wote wa afrika mashariki zaidi hata ya Kenya, bali pia ni jukumu letu kununua kazi zao kihalali ili kusaidia kuwainua.

Inasemekana Kamumba alikuwa ni wa 4 kwa Utajiri kati ya Wasanii na Wanamichezo nyuma ya Hasheem, Lady JD na Ray:

January 22, 2012 nilipost hii:

No. 4: Steven Kanumba

From being a normal person in Ngokolo-Shinyanga to become the most successful actor in Tzee film industry. Here's our fourth highest earner in 2011 ni Steven Charles Kanumba.



Tollywood heartthrob grossed more than TZS 280 million between November 2010 and November 2011 kupitia filamu za "Devil Kingdom': "Moses': "Offside': "Deception""Uncle JJ': and "Because of You" (all produced by his own film company), pamoja na endorsement deals kutoka Star times, Zantel and TSN Supermarket.



Kanumba who said to have a plan ya kugombea ubunge mwaka 2015 katika jimbo la Shinyanga mjini, kwa sasa tayari ameshawajengea nyumba wazazi wake, he has 3 plot in Dar, na ndani ya mwaka jana pekee "Young Billionaire" superstar ametumia zaidi ya million 100 kununua vifaa vya production for his film company, zikiwemo proffessional cameras,cranes, lights, monitors na usafiri.

The Great who's ex-flame of Wema Sepetu, just recently aliongeza idadi ya his classy rides baada ya kuvuta mkoko mpya aina ya Land cruiser V8 yenye thamani ya millioni 70 za kibongo.
 
Kumbe Lulu ni Mmachame?
Nazidi kuwachukia dada zangu wa kimachame..
 
alitakiwa kuwa na kifua kpana maana lulu yule hakuwa wa mmoja...ni wa wote
 
]Kutoka 21:15-17 [/B]
R.I.P Kanumba.
Ampigaye baba yake au mama yake sharti atauwawa
Yeye amwibaye mtu na kumuuza au akipatikana mikononi kwake sharti atauwawa huyo
Yeye amwapizaye baba yake au mama yake sharti atauwawa....
enheee...
 
Kwa aina ya maisha aliyokuwa anaishi kanumba ambaye yeye mwenyewe anakiri kuwa ametoka kwenye Lindi la umasikini......nitasikitika sana Kama hakukumbuka Kwao.........wakati wa Mauti Kama huu ndio watu watapata kuijuwa familia halisi ya Kanumba....Je alisaidia Kuwaondoa kwenye Lindi la umasikini !!!!
 
uzuri wa Tanzania bwana..hakuna mochwari za masuperstar, wala viongozi, wala matajiri..wote mochwari yetu ni ile ile..
tutadharauliana sana huku kitaa ila kule tunakutana na hakuna dharau!
REST IN PEACE KANUMBA..WE ARE COMING!!!
 
We kama umejidhatiti kwa yote hayo, inamaana hutakufa?

kaka jambazi, hapa nilipo tayari nimeishajiandali kaburi langu mkuu. Na kila nafsi itaonja mauti. Kwa anasa wanazopenda hawa wanaojiita bongo stars ni vigumu kufikisha miaka 50.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…