R.i.p kanumba,All human being are mortal.
Death is the last step of life.
RiP kanumba.
Kweli kizuri hakikai RIP stevenrip steven kanumba, the great
TISS ktk kazi wanatuliza upepo wa kisiasa arusha.
mijitu mingine hovyo,,,,hizo chuki kwa kanumba hadi ktk kifo? kweli ulimchukia kwa dhati
tujifunze kutafakari angalau hata kidogo. Liyumba ni marehemu na chumbani walikuwa wawili sasa hii simulizi kaitoa Lulu? Give me a break..........ukweli ni kuwa:-
"Do not deceive yourself. God is not mocked. Whatever a man sow that he shall also reap........................." Galatians 6:7
Kwa taarifa nilizonazo hususani baada ya ile movie aliyoicheza Nigeria na TZ kwa pamoja uvumi ulikwisha kuzagaa kuwa afya yake ilikuwa na mushkeli mkubwa.....................cocktail ya kibongo ilimpa siha marejeo ambayo sanasana ilisaidia kuharibu viungo ndani ya mwili wake.......................figo, maini, moyo n.k.....................suala la kuanguka is typical kwa wengi wenye khali yake....................kule malawi Bingu naye alidondoka......sijui Lulu alikuwepo kule kumvisha kaputula?
Umaarufu wote ule, kujulikana kote kule, pesa zote zile, magari yote yale, majumba yote yale, mademu wote wale, nk. nk. nk. KANUMBA amefariki???
Hapa ndio namkumbuka sikuelewi std V
" Heri mimi masikini ila ninaishi"
No longer at easy
Sasa unakusudia kusema kanumba kafa sababu gani?? Je hakustahili kufa??
simjui mkuu,ndio nimekodolea macho picha yake. r.i.p .
mungu amlaze mahali pema peponi.
wakafunge moja kwa moja, hakana mana haka katoto
uzuri wa Tanzania bwana..hakuna mochwari za masuperstar, wala viongozi, wala matajiri..wote mochwari yetu ni ile ile..
tutadharauliana sana huku kitaa ila kule tunakutana na hakuna dharau!
REST IN PEACE KANUMBA..WE ARE COMING!!!