Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zake tulioongea nao hawajatueleza hili, lakini wamethibitisha kuwa ni kweli kafa. Ufafanuzi tutauweka kwenye 1st postRip, kanumba, mbona hizi taarifa zinanichanganya, maana kunamtu kasema amekunywa sumu!
Rip Kanumba.
alikuwa mgonjwa au ni ajali?habari za kuaminika toka mmc ni kuwa kanumba hatunaye (rip).
Yes I'm at arround mortuary area at Muhimbili na mwili wake umefikishwa muda mfupi uliopita. RIP KANUMBA
jamani kanumba ndio nani tena ndugu zangu?alale pema...
.... R. I. PView attachment 51178
kwa habari ambazo kiukweli sina uhakika nazo sana eti bongo movie super star steven kanumba amefariki dunia usiku wa ijumaa kuamkia j'mosi. Na mwili wake unapelekwa muhimbili kuhifadhiwa.
More updates to follow...
- jf has confirmed his death
- source of his death unconfirmed