Tuthibitishie kwamba utaishi milele na huo umasikini wako!
chakula laini kwa afisa Magereza
Sasa unakusudia kusema kanumba kafa sababu gani?? Je hakustahili kufa??
Ndio ukweli ukifa hukumu right away.Kazi yake haikumtukuza Mungu wa majeshi God will never litsen to ur noisy prayers.Otherwise alichopanda amevuna.
uzuri wa Tanzania bwana..hakuna mochwari za masuperstar, wala viongozi, wala matajiri..wote mochwari yetu ni ile ile..
tutadharauliana sana huku kitaa ila kule tunakutana na hakuna dharau!
REST IN PEACE KANUMBA..WE ARE COMING!!!
jamani kanumba ndio nani tena ndugu zangu?alale pema...
tujifunze kutafakari angalau hata kidogo. Liyumba ni marehemu na chumbani walikuwa wawili sasa hii simulizi kaitoa Lulu? Give me a break..........ukweli ni kuwa:-
"Do not deceive yourself. God is not mocked. Whatever a man sow that he shall also reap........................." Galatians 6:7
Kwa taarifa nilizonazo hususani baada ya ile movie aliyoicheza Nigeria na TZ kwa pamoja uvumi ulikwisha kuzagaa kuwa afya yake ilikuwa na mushkeli mkubwa.....................cocktail ya kibongo ilimpa siha marejeo ambayo sanasana ilisaidia kuharibu viungo ndani ya mwili wake.......................figo, maini, moyo n.k.....................suala la kuanguka is typical kwa wengi wenye khali yake....................kule malawi Bingu naye alidondoka......sijui Lulu alikuwepo kule kumvisha kaputula?
Chezeya mtoto wa Kimachame uone!!kutoka kwenye blog ya sinta kaandika hivi:
hi ma pipo kama nilivyowaahidi
nitawaletea updates sasa Lulu
(hot Lulu)yupo kituoni police
na mahututi kwani
anamaumivu na majeraha
mengi sana usoni,lulu kapasuliwa pia na Kanumba,hawa watu
walikuwa wapenzi wa muda
mrefu,chanzo ni simu
jamani,kanumba aliona lulu
anapigiwa simu za kuitwa sana kwenye
madili,sasa jamaa (marehemu
Kanumba)akashikwa
wivu,duuu mapenzi ni hatarii hot, hotter,
hottest. chezeyaaa hot lulu aiseee huyu
mtoto
R.i.p kanumba,
Wamemfundika kucheza maigizo na mwishowe wakamfundisha mapenzi sasa kawageukia
ujana maji ya moto, tukiyachezea lazima tuungue