Kuna baadhi ya Viumbe hai humu Jf,.nawasiwasi na uhai wa roho zao! Yan hawako seriouz ktk suala la Kifo! Unakuta mtu anakurupuka tu,hata mdomo hajasuuza,anaongea analoweza! Mjitahidi kidogo kuficha makucha roho zenu mbaya,if u cant be seriouz jus 4a second,u better stay away from seriouz issuez! Utani wa ajabu ktk suala kama hili..
Binafsi naona c uungwana,kuropoka ovyo,ka mwehu wakat wa tatizo hasa kifo.Kama huna point Pita tuu,haupungukiwi na kitu,instead of kuchangia kama mpungufu wa akili..ukumbuke pia no one atakaebaki wa mbegu humu dunian!wote tutakufa!
R.i.p Kanumba,God loves u more!