qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
hiyo ya uchi huyo mtoto aliwahi kudai kuwa ni yakutengenezwa
yamekanushwa magapi? je ya pili,ya tatu na ya nne zote za kutengenzwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ya uchi huyo mtoto aliwahi kudai kuwa ni yakutengenezwa
Alikuwa na heshima gani kama si kwa wanawake tu ambao nasikia walikuwa wanasema ndiye mwanamme handsome kuliko wote Tz!!
Lulu uliambiwa mwanangu, asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu. Sasa ona utaishia jela kwa kuua bila kukusudia. Umejiharibia maisha yako maana mzimu wa Kanumba hautakuacha kamwe. Haya we!!! Uliyotaka umeyapata!!!!
Kwa mujibu wa maelezo ya Ndugu yake Kanumba ambaye alikuwepo nyumbani hapo ni kwamba, Kanumba na Lulu walikuwa wakibishiana juu ya simu ya lulu, kwani Lulu alikuwa anaongea na simu na bwana mwingine, kanumba alipotaka kumnyang'anya ndipo walipoanza kusukumana na kanumba akaanguka na kujigonga vibaya!
Lulu kwa sasa anashikiliwa kituo cha polisi!
huyu mtoto kumbe alikuwa kituko? ana umri gani huyu
sasa uyu mtoto under 18 itakuwaje?
wote hapo wanauza suraaiseeee.....EATV live wabongo wanapigana kwenye msiba....msela mmojna anasema hakukuja kuuza sura
muigizaji mmoja kawaka hasira eti jamaa anakosea.....
msela anasema yeye sio chizi kwenda pale msibani......
Tumewazoea... Hata september 11 Osama alisema ........Allah akbar....Alshaabaab kule Somalia na Boko kule Nigeria wanachofanya mnafurahia pia. Mie huwa siwashangai sana kwani ndivyo mlivyo.....
Mi nneamua kubadilika na kuhamia kwa makafiri kwa sababu hizo hizo. Hawa watu ni sawa au pengine wamewazidi kidogo wale majini (roho wachafu).
18 yrs old... katimiza juzi hivi..
Mara kasukumwa, Mara kachomwa kisu! Afu design marehemu alikuwa anakula Mzigo (kitoto lulu) kisiri siri.
EATV wamesema Lulu alimwacha hai kanumba..................alipoondoka yule mdada pale kwa Kanumba........na hizo ni taarifa za mdogo wake mwenyewe Kanumba ambaye yasemekana alijirudia chumbani kwake ambako mara khali yake ilibadilika ghafla....................nionavyo tusubiri post-mortemm ripoti kabla ya kumzulia mtoto wa watu mambo mabaya....................ninafahamu usemi usema hujafa hujaumbuka unatusukuma wengi kuwa upande wa mwenda-zake