Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead


Vyovyote iwavyo Kanumba ni mmoja ya watanzania maarufu kabisa Tanzania na Afrika Mashariki na kati. Kutokana na umaarufu wake, watu wengi wamemfahamu moja kwa moja au kupitia kazi zake za sanaa. Nafikiri kwa hili hakuna atakayekataa. RIP Kanumba
 
Nachelea kusema kuwa huko O-bay police wakati wanachukua maelezo ya haka kabinti wakapime na MIMBA pia! Yawezekana atakuwa na ujauzito wa KANUMBA pia!
 
It looks like a joke to me but it is true. RIP Steven
 
Poleni familia ya Kanumba.
Bado hastahili mazishi ya kitaifa, kuna protocal ambazo zipo katika vitengo zinazoashiria NANI anapaswa kupata heshima ya kitaifa.
 
May she acted on self defense!

Yaweza kuwa kweli. Tatizo ni kuwa mpaka ije kudhihirika hivyo, atakuwa maeshapata mateso makubwa sana mikononi mwa polisi na jamii itakuwa na mtizamo hasi juu yake.

RIP Kanumba.
 
tehe tehe with all respect jamaa alipokuwa anahojiwa na zamaradi alisema lulu ni kama mdogo wake kumbe jamaa alikua ana kula mzigo behind the scene...hata mm nakatamani haka kalulu....
chezea lulu wewe urest in peace
 
Yatasemwa mengi hizo ni tabia za mastaa wengi.Kanumba kafa hakuna wa kupinga kifo.Lulu ni kama wanawake wengine mastaa na vituko vyao
 
Sorry in advance,ni kifo cha aibu sana,kweli nzi(kanumba) hufia kwenye kidonda(lulu).
 
ACP Charles Kenyela kamanda wa polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni akithibitisha kuwa suspect namba moja wa mauaji haya ya Kanumba yuko mahabusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…