unatamin ? Haya bwani, tamaa mbayatehe tehe with all respect jamaa alipokuwa anahojiwa na zamaradi alisema lulu ni kama mdogo wake kumbe jamaa alikua ana kula mzigo behind the scene...hata mm nakatamani haka kalulu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unatamin ? Haya bwani, tamaa mbayatehe tehe with all respect jamaa alipokuwa anahojiwa na zamaradi alisema lulu ni kama mdogo wake kumbe jamaa alikua ana kula mzigo behind the scene...hata mm nakatamani haka kalulu....
mhh namsikia now kamanda kinyera nuyu ni kamanda mkoa maalum wa kinondoni.......kwani hivi ndo confirmed?
wanagombania ubwabwa au?Katika hali ya kusikitisha Marehemu Kanumba alikuwa akipeperusha bendera ya Tanzania nchi za nje katika fani ya sanaa hususan uigizaji wa filamu. Cha kushangaza Serikali inashindwa hata kuweka ulinzi katika msiba huu kiasi cha watu kugombana. Hii imenisikitisha sana.
Kwani kuna ugomvi msibani?
Sorry in advance,ni kifo cha aibu sana,kweli nzi(kanumba) hufia kwenye kidonda(lulu).
Labda kitaifa alikuwa anamaanisha kisanii....maaana kuna wasanii wanalia kisanii sanii tuu.....nachukia umaarufu...Hivi Wako Jacko na Whitney H (RIP) walipata mazishi ya kitaifa eeh! Mkulu kulu wa white House alihudhuria mazishi yao?
Mzee wa Magogoni yupo nasi pamoja kwa hali na mali.
.Sorry in advance,ni kifo cha aibu sana,kweli nzi(kanumba) hufia kwenye kidonda(lulu).
Mzizi, no one can confirm chanzo cha kifo zaidi ya daktari!, na pia no one can confirm Lulu ndio mhusika zaidi ya polisi!.Kwa mujibu wa maelezo ya Ndugu yake Kanumba ambaye alikuwepo nyumbani hapo ni kwamba, Kanumba na Lulu walikuwa wakibishiana juu ya simu ya lulu, kwani Lulu alikuwa anaongea na simu na bwana mwingine, kanumba alipotaka kumnyang'anya ndipo walipoanza kusukumana na kanumba akaanguka na kujigonga vibaya!
Lulu kwa sasa anashikiliwa kituo cha polisi!
picha ziko wapi???Kuna mambo yananipa hasira sana:
1. Kwa nini wanabeba mwili wa marehemu bila kufinika - very undinified. Wamembeba marehemu kama paka huku wengine wakipiga picha mwili wa marehemu.
2.Tabia ya vyombo vya habari ku-film wakati mwombelezaji analia! This is the lowest and private moment. Unaombeleza huku watu wanakupiga picha? hii ni intrusion kabisa.
Mwisho, badala ya kugeuza kifo cha Steve Kanumba kuwa mashindano ya kulia let's remember him kwa mazuri aliyofanya. Steve alikuwa mtu wa watu, amefanya mengi mazuri, ameburidisha watu kupitia kipaji chake cha uigizaji. Tutumie muda huu kumshukuru mungu kwa muda aliotupa kuishi na Steve and celebrate his short life. Kulia ni private issue, lakini cha muhimu hapa ni Steven na his memory.
Kwa mujibu wa maelezo ya Ndugu yake Kanumba ambaye alikuwepo nyumbani hapo ni kwamba, Kanumba na Lulu walikuwa wakibishiana juu ya simu ya lulu, kwani Lulu alikuwa anaongea na simu na bwana mwingine, kanumba alipotaka kumnyang'anya ndipo walipoanza kusukumana na kanumba akaanguka na kujigonga vibaya!
Lulu kwa sasa anashikiliwa kituo cha polisi!