Turning point
New Member
- Apr 6, 2012
- 3
- 2
Yuko Mungu mwamzi wa haki ktk jambo hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah sipati picha wakati wa kuaga
Kifo cha msanii steven kanumba kimesababishwa na radhi ya baba yake mzazi
aisee huu msiba umenigusa sana.Kanumba alikuwa nyota yenye muelekeo wa pekee na km nembo ya taifa ktk eneo lake.Mungu na atupe moyo wa subra watu wote tulioguswa na msiba huu.Amen
kinatufundisha kuwa tuwe wa kweli kwani kanumba alipohojiwa alisema kuwa hana mpenzi, pia lulu naye alisema hivyo hivyo sasa lulu atawaeleza nini watanzani leo hii.
R.I.P Kanumba ila umetuachia funzo kuwa wazazi ni MUNGU wa pili duniani ...LULU sasa kwako yametimia ni zamu ya dunia kukufunza walimwengu tulishatimiza wajibu wetu lakini hukutusikia
R.I.P Kanumba,may lord forgive ur sins n rest u into eternal life
Mbona media hawamuhoji huyo mtoto???(lulu)
Mnafiki mkubwa huyu
Lulu Miss Tanzania 2012!