Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
mboni hiyo ya juu kama T B Joshia..
MUTA KAFA?OMG,kapilima,Msindai now Muta,Rest in peace ProfUngejua wanajiolojia wa Tanzania wanaomboleza parefu sana, usingeitoa hii habari kwa staili hii.
prof Muta was Great, ana atabaki akikumbukwa sana kwa mchango wake.
mi maswala ya mziki na filamu, yamenipitia pembeni kabisa, cz nimekaa jela kamiaka 5 ndo nimetoka juz juz.
[Watu wanazungumzia msanii wa filamu we unaleta mambo ya juma nAture... Wa wapi wewe
This is very shameful.
Are you a Tanzanians?
Ki vipi mkuu? Hii topic ilianzishwa tarehe 2 March 2012, zaidi ya mwezi mmoja kabla ya Kanumba kufariki. Au sijaelewa concern yako?