tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
kanumba ni kijana mmoja wa kitanzania aliyechangia kupotosha maadili ya kiafrika kupitia filamu zake za kipuuzi. Huyu mtoto kachangia sana watoto, mabinti na vijana wetu kupotoka kimaadili, hawashikiki nyumbani, hawashkiki shuleni wala kanisani. Watoto wetu walianza mapenzi mapema kupitia filamu za huyu bwana. Ngono imepelekea kifo chake.!
Go to hell you stupidity boy.
kumbe?