Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Watu wawili wamepoteza maisha kwa mshituko wa kupata taarifa za kifo cha Kanumba.Mmoja yupo hospital kapoteza fahamu. So Kanumba kauwa wengi kuliko LuLu.

Watanzania bwana! yaani ugumu wa maisha hauwajalishi wanapoteza fahamu sababu ya maigizo! Hii nchi ilitakiwa iwe kwenye sayari nyingine Waallah! sijui ni mwenge unatupumbaza au?:shetani::shetani::shetani:
 
Ni sawa lkn haina mashiko kwa sasa!
Kama ni kwa mantiki hiyo then kuna topics nyingi tu humu jf kuhusu kanumba itabidi zifutwe! Yote haya yanabaki kama historia tu sioni sababu ya kuyafuta kwa sababu yaliandikwa wakati SK akiwa bado hai....ingekuwa topic hii imeanzishwa baada ya kifo then kungekuwa na hoja ya kutaka ifutwe. Ni maoni yangu tu.
 
1. Tanzanian actor, Steven Kanumba, dies



2. ALASHOCK'S BLOG: Popular Tanzanian & Nollywood Actor, Steven Kanumba Dies, Aged 28

3. Welcome to Linda Ikeji's Blog: Popular Tanzanian actor, Steven Kanumba, dies

Popular Tanzanian actor, Steven Kanumba, dies



Steven 'The Great' Kanumba, one of Tanzania's most popular actors, died in the early hours of this morning. Cause of death is still sketchy. Some say a fatal car accident, others say he was killed by an actress girlfriend after a quarrel. The actor, who is a household name in Tanzania, also featured in a few Nollywood movies. He was only 28 years old. A shocking news for Tanzania and the Africa movie Industry. So sad! May his soul rest in peace...amen.

Posted by Linda Ikeji at 10:03 AM Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook




22 comments:


itoro essien said... May his soul rest in peace. wats going on in this entertainment industries....Jesus take the wheel ....
April 7, 2012 10:08 AM
Anonymous said... not a car accident. He was killed by his lover, a fellow actress
April 7, 2012 10:19 AM
Anonymous said... Sad so so sad..God! somtin as painful as dyin by car accident..rest in peace.
April 7, 2012 10:20 AM
Anonymous said... JESUS!!! Shocking. What happened? May his soul rest in peace. AMEN!!!
April 7, 2012 10:22 AM
Tbaby said... OMG!!! may his soul rip
April 7, 2012 10:26 AM
Anonymous said... R.I.P Steve Kanumba. Gone too soon. He died while having a quarrel with a girl friend, some say she pushed him and fell down on his head, others say she smacked him with a hard stuff and went call his brother and ran away.
Some of the Nollywood movies he acted
Devils Kingdom ft Ramsey Noah
Dar to Lagos ft Mercy Johnson and Bimbo
She is my Sister ft Mercy Johnson< Nkiru Sylvanus.
April 7, 2012 10:30 AM
The Kinkster said... That's shocking and really sad! Never liked his acting much but he's very popular in Tanzania and a very visible player in the East African scene...RIP!! 28? Jesus have mercy,lord!
April 7, 2012 10:31 AM
Anonymous said... May his soul rest in peace.
April 7, 2012 10:35 AM
dyzah said... OMG! May his soul rest in peace. *sad much*
April 7, 2012 10:45 AM
Anonymous said... How terribly sad...may his soul rest in peace! May our good Lord keep his family.
April 7, 2012 10:47 AM
bambilurv said... OH NO!!!May his soul rest in peace!!this is so sad!!
April 7, 2012 10:54 AM
Adeyinka said... chai....fine boy like dis. ve seen a couple of his movies on africa magic plus. RIP steven
April 7, 2012 10:54 AM
Anonymous said... Whoa! Such a good actor. May his soul rest in peace and may God Almighty comfort his family . Amen
April 7, 2012 11:00 AM
Anonymous said... oohhh linda pls check ur sources before you post...kanumba did not die for a car accident-it was his galfriend pushed him down and knock his head to death and they were at kanumba's house sinza vatican ...and the gal is also a tanzanian movie star..
April 7, 2012 11:03 AM
Anonymous said... Ahhh dis guy?!so sad!so young!
April 7, 2012 11:06 AM
Anonymous said... So sad. I like his acting a lot. Learnt a few tanzania language from him. May his soul RIP
April 7, 2012 11:13 AM
Shikena said... So so sad. I really loved his movies. May his soul rest in peace.
April 7, 2012 11:15 AM
Tobenna Okoye said... RIP
April 7, 2012 11:20 AM
Yisola said... So young. RIP.
April 7, 2012 11:31 AM
Anonymous said... Linda dear,
He had a fight with his lover 18 year old Lulu Michael an actress who upon fighting pushed him causing him to fall hard on his head hence his death! It was not a car accident.
Rest in peace Stevie! Gone too soon
April 7, 2012 11:48 AM
Anonymous said... May he RIP ....
April 7, 2012 12:18 PM
Anonymous said... oh WOW!!shocking...he was such a fine boy
April 7, 2012 12:24 PM
Post a Comment
Links to this post

4. http://www.talkofnaija.com/News/newsdetailsone.aspx?NewsId=38332B4D-3CFA-4BE7-880A-3F9DBFC03A9B



NA NYINGINE NYIIIIIINGI, KWA KIFUPI THE GREAT NI GUMZO, SIO HAPA BONGO TU, HATA NIGERIA AME COVER SANA KWENYE MITANDAO.
 
naona wasanii kibao kama kina ray lakini mavazi ni kama wanaact movie nyingine

Mtajwa hapo juu alikua best sana wa Marehemu,
But kadri muda ulivyokwenda ndivyo picha zilivyokua haziendi.
Hiki kifo sio bure!!!
 
Du ni vigumu kuamini kama ni kweli hatunae. R. I. P kanumba naamiuni Mungu ndo alkiyekupenda zaidi na akupe pumziko la amani Amen
 
Watanzania bwana! yaani ugumu wa maisha hauwajalishi wanapoteza fahamu sababu ya maigizo! Hii nchi ilitakiwa iwe kwenye sayari nyingine Waallah! sijui ni mwenge unatupumbaza au?:shetani::shetani::shetani:

aaaaaaaaah aaaaaaaaah bora umesema wewe
 
...na sharia je, inasemaje?

'mzinifu mwanamke na mzinifu mwanaume mwapigeni kila mmoja ktk wawili hao mijeledi 100 na lishuhudie kundi la waislamu adhabu yao hao wawili (wazinifu) na wala isikushikeni huruma ktk kutekeleza adhabu ya allah ikiwa ninyi mnaiamini siku ya mwisho na mnamuamini mwenyezi mungu!'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…