Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Kuwa baba hakuishii tu kuwa sperm donner,you have to perticipate katika malezi pia.May be alikuwa baba yake biologically but not kimazingira
 
Kama ni kweli basi tutegemee vifo vya wasanii wengine watano ili idadi yako ya kwenye ndoto itimie.
Vp hukumuona Ray kwenye hiyo list?
RIP Steve!!
 
Nenda celebrity forun utaikuta thread inayozungumzia hili jambo.
 
na kwa mara ya mwisho nawapa hosia vitukuu vyaangu mimi ngamia mzee umri wangu sasa ni miaka

yapata 97 nimeona mengi lakini sasa yamezidi na heshima kwa wazee hakuna mtawamaliza vijana
na mwisho mtaanza kubaka wazee badilikeni badilikeni nimezaliwa 23/may 2015 na bado nina nguvu na
nakuandika na kuona
 

Hapana shaka huo mji utakuwa unaitwa Bandari Salama ,mara nyingi ndoto inakuwa haina mwanzo wala mwisho lakini yake we imebahatika vyote mwanzo na mwisho hongera kwa tarifa.
 
Kanumba anahusika na kifo chake,he has nobody to blame.Dhambi inaua.Aliendekeza mno tamaa na starehe.Hili liwe funzo kwetu.
Kila nafsi itaonja mahuti,we should respect wafu wote!!tusilete sababu juu ya ili wakuu,mipango ya Mungu tu,na lazima ashukuriwe bila kukosolewa!R.I.P Kanumba,u gone too early son!
 
Rest in peace my lovely Brother,may God rest your soul in peace!
Amen!
 
Msimuhukumu huyu mtoto; kinachotakiwa hapa ni autopsy report kuhusu sababu ya kifo cha Kanumba. Ninadhani kuwa tuna utaratibu wa kufanya post mortem examination kwenye mwili wa marehemu iwapo kifo chake kinahusisha na uvunjaji sheria.

Miezi michache iliyopita tuliona PDiddy akianguka ghafla na kufariki bila kuguswa na mtu yeyote, inawezekana kulikuwa na sababu nyingine kama vile stroke iliyotokea kwa Merehemu Kanumb wakati Lulu anamsukuma, ambayo bado ingechukua uhai wa marehemu hata bila kusukumwa na Lulu kama ambavyo ilivyotokea kwa Marehemu PDiddy. Kujua chanzo cha kifo ni jambo la muhimu kwanza kabla ya kujadili mazingira ya kifo hicho.

Ni vizuri pia tukumbuke kuwa mabadiliko ya lifestyles za mastaa wetu yanaendanana na mabadiliko ya kiafya kama vile kupanda au kupungua kwa sugar levels katika damu, kujengeka kwa plagues za cholesterol kwenye mishpa ya damu na na kupanda kwa blood pressure mwilini. Ni vizuri sana masataa wetu wajenge utaratibu wa kupima afya zao mara kwa mara kuhakikisha kuwa hawana matatizo ya kiafya yaliyojificha miilini mwao yanayoweza kuchukuwa uhai wao kwa muda mfupi tu.
 
wewe inabidi ukapime akili yako kwanza!!!, maana tunaona unatuchanganyia habari hapa, mara ya kwanza umemsifia LULU kwa kumuua THE GREAT mara tena unakuja na habari ya ndoto!!, we mzima kweli au umekunywa ulanzi!!.
 
Mambo huja na kupita, neno la MUNGU litasimama, "Kuuzoea Uovu hakumsaidii mwovu katika siku ile!"
 
achen unafk wadau., kwenye unafki tuwe wawazi. SK enzi za uhai wake alikuwa hapatani na baba yake. na aliwah kumponda baba live ktk take one ya klaud tv.
baba akamuita ili aombe msamaha lakn marehem akakaidi saut ya mzee wake.
hata mahojiano yj TBC1 na baba wa marehem, mzee hana hata wacwac juu ya hili na hakuna taarifa rasmi kama atakuja mcban. ....ila mama ndo yamkini keshawasili dsm from BKB.

nawasilisha
 
this girl is possessed and a devil in human form.

tusifikie hukumu ya upande mmoja tu tena ya ushabiki kwa kuwa aliyekutwa na tatizo alikuwa akipendwa na watu, mazingira yaliyosababisha haya hakuna anaejua na huenda alimsukuma ktk kujikinga ili aweze kutoka humo, ndio maana kuna mauaji ya bila kukusudia. Pia tunaweza kumlamumu sana huyu binti kumbe sisi wazazi ndio tuliosababisha afike hapo alipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…