Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Naomba tukatendee haki haka katoto!. Mwenye mamlaka ya kutaja chanzo cha kifo ni daktari, na mwenye mamlaka ya kumtaja mhusika ni jeshi la polisi!.

Nashauri subirini taarifa ya dakitari kuhusu chanzo cha kifo. Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Lulu alimsukuma, inawezekana kwenye purukushani hiyo, ni Kanumba mwenyewe ali bugi step akateleza na kuanguka bila kusukumwa na yoyote!.

Hata kama ni kweli Lulu alimsukuma, chanzo cha kifo sio lazima kiwe kimetokana na kusukumwa!. Inawezekana Kanumba alikuwa na heart problem, pressure etc, hivyo alipokasirika pressure zikapanda, au akapata heart failure ndipo akaanguka!.

Hata kama ni kweli alijigonga, subirini madaktari wathibitishe chanzo cha kifo ndipo tuendelee kujadili!.

Najua msiba huu ni huzuni kubwa, lakini nawaombeni sana, lets not be judgemental kwa Lulu!.

Mimi ni miongoni mwa waumini wakubwa wa the doctrine of "karma", kuwa there is nothing new under the sun, hakuna coincidence wala bahati mbaya, lolote ambalo limetokea, lilikuwa litokee tuu, yaani siku ya mpendwa wetu Kanumba ndio ilikuwa imefika, saa ilipotimia Mungu akamuita, hata asingesukumwa, angefia usingizini!.

After all, there is life after life and life before life!, death ni change tuu ya life form from physical body to spiritual body!.

Rip Kanumba.

Pasco

So! How does a spiritual body look like sir? Beware of repeating jargons like that! That is all I can say.
 
This seems just initial information from the suspected person.
Ok, investigation alwayz start from the source, go ahed Kenyela.
Anyway the point remains that Kanumba the Great has gone!
R.I.P. Kanumba
 
offcourse kama kanywa mkonyaji mwingi unafikiri itamfanyaje..anazima sokomoko sembuse kanumba aliyeanza kunywa baada ya kutoka
 
Ni lini polisi walifika eneo la tukio wakachunguza? Siku nzima watu wamekuwa wanamiminika nyumbani kwa marehemu, vielelezo vyote vya ushahidi vimeshapotea, watu wanatembea, wanashika kila kitu. Polisi watafanye uchunguzi vipi wakati eneo liko contaminated?

Week chache afande Chagonja kabla ya kwenda Songea kuchunguza vurugu alitoa 'conclusion' ya report, sasa hata kwenye kifo cha Steven Kanumba wanaonekana kufanya mambo kama tuko zama za ujima.

Na ujue hao polisi ni magumashi waulize wamejuaje kuwa marehemu alikunywa Jackie Daniel? Uchunguzi unaweza kuona alcohol lakini sio BRAND ya kinywani. Masimulizi tu haya!
 
Pole mama, poleni ndugu na marafiki, poleni wadau wa film tz. Ndiyo njia ya sisi sote! Rafiki tunakupenda, tutakukumbuka daima milele. Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, amen!
 
kana miaka 16,marehemu alivunja sheria kuishi na mtoto kinyumba bila ridhaa ya wazazi

kanadai kati ya wanaume 14 kalikotembea nao ni wawili tu walimfikisha

kakivaa nguo ndefu eti kanawashwa,mwaka huu ndo kalitakiwa kawe kidato cha 4
(wajawazito temeeni mate mbali)

Katafikishwaje wakati kameanza mapenzi hata kabla ya kuvunja ungo? kamekuja kuvunja ungo Dozzer zilikwisha tengeneza barabara pana siku nyingi!

Tufafanulie kakivaa nguo ndefu kanawashwa sehemu gani ya mwili?
 
Poleni sana wana Familia pamoja na wadau wote wa filamu. Kweli inauma lakini hatuna jinsi Jina la Mungu libarikiwe.
 
Jamani tusibadilishe jukwaa hili kuwa ya umbea, maisha ya mtu na wazazi wake wanayajua wenyewe. Kuwanyooshea wenzako vidole uko mstari wa mbele lakini inawezekana kabisa hakuna siku umefikiria kumnunulia baba yako hata shati sembuse kumjengea nyumba.
 
Back
Top Bottom