Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Mungu baba mwenye rehema awapumzishe wote kwa amani. Haijalisha misiba yao imeudhuriwa na watu wangapi iwe kumi au hamsini,au watu wa rank gani jamani hivi ni kweli binadamu tunakaa kuanza kucompare marehemu gani kafunika kwenye msiba wake???yani as if Kanumba yuko hai eti amefunika!!!! Kila mtu anaguswa na msiba tofauti na mwingine.

Hebu acheni roho za marehemu zipumzike kwa amani. Wasikae kwenye midomo ya watu kwa kuongelewa vibaya, na sie tuko njiani safari yetu inakuja.
 
Sentensi za mdogo wa Kanumba zinaashiria kilichotokea

Source TBC
 
Me mbona hata rais wa hii nchi ya tanzania simjui?
 
Mkuu wewe ni kama mimi nilikuwa simjui
nikauliza badala nijibiwe nikaulizwa raia wa wap?ila nimeona picha zake angalau..ni msanii wa maigizo kama sijakosea.

uko sawa. maigizo yake hayatazamwi na watu wenye akili zao.
ila binafsi nimehuzunika kwa kifo ambacho hakika kingezuilika
 
usiku wa kuamkia ijumaa (jana) niliota ndoto ya ajabu. Kwamba nilikuwa katika mji fulani mkubwa, lakini ghafla mawinguni upande wa magharibi nilikiona kikundi cha wasanii, walikuwa kama wa tano hivi. Wote wakiwa ndani ya suti nyeusi na mashati meupe na bulls' tie. Nilivyo waona ilikuwa kama vile "projector" ilikuwa mahali na kutumia mawindu kuwa kama 'screen'. Picha za wale wasanii zilikuwa ni aina ya pasipoti ila zilikuwa kubwa sana na nilimfahamu kiongozi wa kikundi kile aliyekuwa mbele na ukubwa wake wa pale mbele aliwaziba wengine wa nyuma. Huyu mtu alikuwa ni steve. Basi sikujali.lakini nikaenda mji mwingine mdogo, kule tena ile picha ikaibuka. Safari hii wale wasanii wakaimba sana mziki wakifurahi (ilikuwa kama move hivi). Walipomaliza ile picha ikatoweka, na mimi nikasema vijana hawa wameanza usanii hivi karibuni lakini wamestawi sana.

Saa hivi wakati naangalia historia ya marehemu tbc, ile ndoto niliyokwisha isahau ika-flash kwenye kioo cha dirisha. Ndipo nimekumbuka ndoto hii nakuiweka hapa.

wewesi ndiyo ulituma thread mchana wa kumpongeza lulu kwa kumuua kanumba. Sasa unakuja tena na ndoto? Kila la kheri na ndoto zako.
 
Back
Top Bottom