Zeddicus Zu'l Zorander
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 804
- 951
JB zaidi ya wote. sema labda sababu ya kitambi tu !
Ki ukweli JB anaweza sana kuuvaa uhalisia kwenye movie sema ajacheza movie nyingi kama Kanumba ilo nalo linampunguzia umaarufu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JB zaidi ya wote. sema labda sababu ya kitambi tu !
Me mbona hata rais wa hii nchi ya tanzania simjui?
Rahisi sana kutabiri mechi iliyokwisha kuchezwa.
kheee heeee heeeee...Eeh!watu mkiulizwa Tanzania ina mikoa mingapi hamjui ila data kama hizi mnazo hadi details zote za ndani
hakika wewe wasema lillilo kweli hakuna tofauti kama watu wenyewe ndiyo hawa? huyu ni changu au msani?i hakika wasanii wanatumia mgongo wa usanii kufanyia ukahaba? hakuna makahaba wakubwa TZ kama hawa wasanii?i na ushahidi huo hapo asante sana
unaweza kuwa unamiliki kampuni ya kusambaza maji ya Kandoro mtaani na wewe ndio supplier, accountant, msambazaji, marketer etc. na hujamtengenezea mtu ajira.
We ungenieleza vizuri tu, Kanumba alitengeneza ajiri kivipi, kigumu nini hapo kwenye kichwa chako panzi hicho?