Nimeota Ramsey kafunga goal la ushindi against Man six! This time mtu anavuta kwanza then Ramsey anascore!mmmhhh baada ya mutharika sasa kanumba who is next? mrudie mungu wako na usali sana..
RIP kanumba..
Source RFA
Mwigizaji maarufu hapa nchini Steven Kanumba kafariki dunia maeneo ya mbagala kwa ajari ya gari
kwa hiyo alikula nyama ndio maana ikamdhulu embu dadafua maelezo yako..
Maxi tunaomba updates uziweke front page sasaNdugu zake tulioongea nao hawajatueleza hili, lakini wamethibitisha kuwa ni kweli kada. Ufafanuzi tutauweka kwenye 1st post
Ebu subiri Nita ute ukweli kwanza manake sikuizi watu kwakuburuza habari wala hawazibebi....
Nimeota Ramsey kafunga goal la ushindi against Man six! This time mtu anavuta kwanza then Ramsey anascore!
Lulu mwigizaji ndiye alikuwa "mpenzi" wa marehemu Kanumba.
Kama ndiye kamsukuma (kama maelezo yanavyodai), ndiye anakuwa 'suspect' wa kifo hiki?
Mbona kasheshe?
Pumzika mdogo wangu..sasa kazi mashemeji watakavojazana kwenye msiba daaaah ..utatupa kazi kweli..haya pumzika
Kama ni kweli basi R.i.p kipenzi cha wengi.
Ray kapata pa kutokea sasa