Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Clouds fm live dakika zilizopita mtu aliepo nyumbani kwa marehemu, watu wanazidi kufika ndugu zake bado hawajafika.

Kanumba alikuwa anaoga wanavyodai majirani saa sita usiku alitoka bafuni kuingia chumbani eti akamkuta Lulu anaongea simu ya mapenzi na mwanaume mwingine, wakagombana na akasukumwa na kuangukia kujigonga kichwa na ndio kilichosababisha kifo chake. sasa msemaji amesema kuwa hii ndivyo inavyoelezwa pale na wanasubiri wataalamu watoe taarifa yao, inaelekea ugomvi ulikuwa mkubwa kati yao hadi majirani walisikia.

Kwa hiyo kwa sasa ni kauawa na Mpenzie

tujifunze kutafakari angalau hata kidogo. Liyumba ni marehemu na chumbani walikuwa wawili sasa hii simulizi kaitoa Lulu? Give me a break..........ukweli ni kuwa:-
"Do not deceive yourself. God is not mocked. Whatever a man sow that he shall also reap........................." Galatians 6:7

Kwa taarifa nilizonazo hususani baada ya ile movie aliyoicheza Nigeria na TZ kwa pamoja uvumi ulikwisha kuzagaa kuwa afya yake ilikuwa na mushkeli mkubwa.....................cocktail ya kibongo ilimpa siha marejeo ambayo sanasana ilisaidia kuharibu viungo ndani ya mwili wake.......................figo, maini, moyo n.k.....................suala la kuanguka is typical kwa wengi wenye khali yake....................kule malawi Bingu naye alidondoka......sijui Lulu alikuwepo kule kumvisha kaputula?
 
Miez michache iliyopita hapa kuna thread ilianzishwa kuwa Kanumba kafia kwenye msitu wa Amazon akiact movie.

Tarehe 1/4 sikukuu ya wajinga watu walituma sana sms kwenye BBM kuwa the guy is dead.

ITV Alhamis walikuwa wakonyesha maisha ya Kanumba alipoanza kuagiza..

Jana michuzi alitoa clip ya kujikumbushia kuhusu Kanumba baada ya kutoka BBA.

Today...He is dead kiukweli!

I see!!!
 
may his soul rest in peace
Duniani hakuna ugonjwa mmbaya na unaoua kama mapenzi.... Haya sasa kufa kufaana ni zamu ya mavuno kwa vijarida vya Shigongo vitauza kweli na speculation, udaku na uchimvi kuhusu kifo cha Kanumba
 
Clouds TV naona Ray,Claud, Stive Nyerere wapo live wakihojiwa na bi Regina
 
Jamani hili ni jukwaa la siasa na sio Celebrity, Habari za Kanumba hili siyo jukwaa husika, mods pls hebu move hii thread kunakohusika.
 
namckia steve nyerere hapa klaudi tv. eti anasema mara ya mwisho wamekunywa pombe wote maisha klab. kwa iyo marehem alikuwa mlevi..!
RIP ong'wise Kanu
 
Dah sina cha kusema zaidi ya kumuombea huko akapumzike kwa amani.
 
Bwana alitoa, Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Pumzika kwa amani SK.
 
mtoa mada tatizo lako unasoma sana magazeti ya udaku
 
mijitu mingine hovyo,,,,hizo chuki kwa kanumba hadi ktk kifo? kweli ulimchukia kwa dhati
 
Dear Wadauzz


nasikitika kutangaza kifo cha Steven kanumba ambaye amefariki leo saa saba ya usiku,maiti ipo Muhimbili hospital.


chanzo cha kifo,inasemekana Lulu na Kanumba were dating secretly,na walikuwa pamoja wakati wa kifo chake,Lulu alimsukuma Kanumba wakiwa katika ugomvi na kanumba akadondoka na kutoa damu na ndipo mauti ilimshika
kwa sasa Lulu yupo Osterbay police.


nitawaletea more updates
ila tusimlaumu Lulu kwani ugomvi katika mapenzi unatokea.


Angalizo
uki comment naomba ujue nilikuwepo eneo la tukio kuanzia Home kupeleka maiti hosp na kurudi kwake Sinza,kwa ujumla sijalala,
ni hilo tuu

hi ma pipo

kama nilivyowaahidi nitawaletea updates sasa Lulu(hot Lulu)yupo kituoni police
na mahututi kwani anamaumivu na majeraha mengi sana usoni,lulu kapasuliwa pia na Kanumba,hawa watu walikuwa wapenzi wa muda mrefu,chanzo ni simu jamani,kanumba aliona lulu anapigiwa simu za kuitwa sana kwenye madili,sasa jamaa(marehemu Kanumba)akashikwa wivu,duuu mapenzi ni hatarii

Source: PRETTY SINTAH
 
Kama alikuwa hajaOKOKA basi tena RIP doesn't help; SORRY for him.
 
Naomba nipate taarifa RASMI!
Lulu yupi anaehusishwa kwenye Ugomvi au Msiba?
 
Back
Top Bottom