Zigi Rizla
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 1,064
- 1,107
Kwadu Cheye, raiya wa nchi ya Tanzania ambaye ana umri wa kati amefungwa kwa miaka 30 nchini Kenya katika jela la Langata Women Prison.
Kwadu Cheye alipata kifungo hiki baada ya kukamatwakwa akiombaomba barabarani Nairobi huku akimtumia mtoto mdogo mwenye ulemavu.
Kwadu Cheye alipata kifungo hiki baada ya kukamatwakwa akiombaomba barabarani Nairobi huku akimtumia mtoto mdogo mwenye ulemavu.