Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
Mkuu kwenye nyuzi kama hizi huwa unakuja mbio kweli.Leta facts kwamba tanzania maskini zaidi kenya na mimi nitakupa jinsi kenya ilivyo maskini zaidi ya Tanzania. Twende kwa facts siyo kuhororoja.
Sasa tatizo lako ni nini nikusaidie?Mkuu kwenye nyuzi kama hizi huwa unakuja mbio kweli.
Mje mchukue beggars wa kikuyu huku Namanga pia....The influx of beggars from Tanzania is a perennial problem and there is never any need to recycle such stories as new ones keeps on coming everyday. Here is the link dated FRIDAY MARCH 3 2017
Tanzanian beggars arrested in Nakuru
Mifilazy tanzanians
Weka picha au acha ujinga huuImmigration officials in Nakuru have unearthed a syndicate involved in the influx of beggars from Tanzania and other East African countries to the town.
The beggars are used by the syndicate to collect money from the public.
Acting on a tip-off, police and the immigration officials on Wednesday evening rounded up 11 beggars.
The 11 included disabled men and women aged between 25 and 35 years
According to an immigration official who led the crackdown, the Tanzanian beggars were picked up from the town’s main street - Kenyatta Avenue.
“There must be someone organising the entry of these beggars into the town centre.
“It appears that they are being dropped at specific [points] very early in the morning and picked up late in the evening,” said the official.
FROM MUSOMA
Those arrested are said to be from Musoma in Tanzania.
Police have launched investigations with the aim of arresting those behind the human trafficking syndicate, Nakuru police chief Joshua Omukata said.
“The beggars have been staying in the country illegally,” said Mr Omukata.
Those arrested were taken to court where Senior Resident Magistrate Joe Mkutu Omido ordered their deportation.
Residents and members of the civil society have in the past complained about the increasing number of street children and beggars in Nakuru Town.
They argued that their presence was an eyesore and compromised the security of visitors coming to the town.
pumbavuuuuuuMifi
Kwa hiyo bandiko hili linaletwa hapa kutujulisha kwamba Kenya ni nchi ya matajiri kuliko Tanzania? Au Kenya hakuna beggars? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hua nawaza endapo wakenya wangekua advanced kidogo kama South Africa sijui kama tungepumua hapa jf(nawaza kwa sauti)[emoji23]
Waafrika tuna desturi ya kuchekana ilihali wote bado tuko third world economy[emoji23] [emoji23]
Hangaika na mambo yenye tija, Kutoka musoma mpaka Kenya kuna ukaribu sana na pia kuna interaction kubwa kati ya watu wa Kenya na Mkoa wa Mara kupitia pale Sirari border sasa raia wa huko na huko kuchanganyikana ni jambo la kawaida tu, wakenya omba omba wapo wengi kwenye maeneo ya Tanzania hasa yaliyoko kwenye border hasa Sirari, Tarime na mkoa wa Mara kwa ujumla.Kenya wapo omba omba ambao ni raia ndani ya nchi. Mataifa yote duniani hata Marekani kuna omba omba kwenye barabara zao ambao ni Wamarekani tena wazawa wa nchi.
Lakini hili lenu nyie ni ovyo sana, kwamba watu wanahangaika kuvuka hadi kwa nchi jirani kwenda kuomba omba pembezoni mwa barabara, ni desturi na tamaduni ya Kitanganyika. Nakumbuka nikiwa mdogo ilikua ni mwiko kwa mtoto yeyote kwetu nyumbani kwenda kwa jirani kuomba, yaani mama yetu alikua ameweka sheria noma noma.
Wakenya wapo wanaokuja Tanzania, labda hata wengine wanafanya kazi duni huko, lakini mwisho wa siku wanakula kwa jasho lao bila kuomba omba pembezoni mwa barabara.
Nyie mnaacha nchi iliyoneemeka kwa kila kitu, amani, ardhi kubwa yenye rotuba, madini kila mahali, gesi, vivutio bora va watalii n.k. halafu mnakwenda kuomba omba barabarani kwenye nchi za watu. Huo ni uvivu na uzembe wa kufa mtu, nimemskia mara nyingi rais wenu Magufuli akisema mfanye kazi, lakini ukweli Nyerere aliwaponza na ujamaa wake maana aliwafanya mkawa wavivu kupitilizia. Yaani rais wenu ana kazi na sio haba, kabla afaulu kuwabadilisha kimawazo na kifikira itachukua muda mrefu.
Hebu tazama hii video
Hivi kwa akili yako hiyo finyu yaani ndoooogo kama sisimizi. Tanzania ipo na watu 47.25mil huku kenya ni 44.7mil unaongelea watu hawafiki hata kumi na haijulikani kama kweli ni watanzania. Sasa hiyo propaganda yenu ya kitoto mnadhani ina issue yoyote hapa bongo?Kenya wapo omba omba ambao ni raia ndani ya nchi. Mataifa yote duniani hata Marekani kuna omba omba kwenye barabara zao ambao ni Wamarekani tena wazawa wa nchi.
Lakini hili lenu nyie ni ovyo sana, kwamba watu wanahangaika kuvuka hadi kwa nchi jirani kwenda kuomba omba pembezoni mwa barabara, ni desturi na tamaduni ya Kitanganyika. Nakumbuka nikiwa mdogo ilikua ni mwiko kwa mtoto yeyote kwetu nyumbani kwenda kwa jirani kuomba, yaani mama yetu alikua ameweka sheria noma noma.
Wakenya wapo wanaokuja Tanzania, labda hata wengine wanafanya kazi duni huko, lakini mwisho wa siku wanakula kwa jasho lao bila kuomba omba pembezoni mwa barabara.
Nyie mnaacha nchi iliyoneemeka kwa kila kitu, amani, ardhi kubwa yenye rotuba, madini kila mahali, gesi, vivutio bora va watalii n.k. halafu mnakwenda kuomba omba barabarani kwenye nchi za watu. Huo ni uvivu na uzembe wa kufa mtu, nimemskia mara nyingi rais wenu Magufuli akisema mfanye kazi, lakini ukweli Nyerere aliwaponza na ujamaa wake maana aliwafanya mkawa wavivu kupitilizia. Yaani rais wenu ana kazi na sio haba, kabla afaulu kuwabadilisha kimawazo na kifikira itachukua muda mrefu.
Hebu tazama hii video
Povu la nini sasa? Sisi twaongea kisomi wewe waja na kuyap yap. Nimekuomesha umaskini ulivyowakalia huko Kenya. Sasa unaleta ngonjera hapa.
Hangaika na mambo yenye tija, Kutoka musoma mpaka Kenya kuna ukaribu sana na pia kuna interaction kubwa kati ya watu wa Kenya na Mkoa wa Mara kupitia pale Sirari border sasa raia wa huko na huko kuchanganyikana ni jambo la kawaida tu, wakenya omba omba wapo wengi kwenye maeneo ya Tanzania hasa yaliyoko kwenye border hasa Sirari, Tarime na mkoa wa Mara kwa ujumla.
Wakenya ombaomba hawakuwahi kukamatwa kwa sababu no body is aware about that wala hakuna aliyewahi kuwaza kufatilia omba omba wale.
Ndugu yangu MK254 nakushauri leta jukwaani habari nzuri kama maendeleo makubwa ambayo Kenya imefikia ili nasisi tujifunze sio huu utumbo usiokua na maana
Kuna vitu huwa vinanishangaza yaani mtanzania avuke border kwa ajili ya kuomba!!!!....Kenya wapo omba omba ambao ni raia ndani ya nchi. Mataifa yote duniani hata Marekani kuna omba omba kwenye barabara zao ambao ni Wamarekani tena wazawa wa nchi.
Lakini hili lenu nyie ni ovyo sana, kwamba watu wanahangaika kuvuka hadi kwa nchi jirani kwenda kuomba omba pembezoni mwa barabara, ni desturi na tamaduni ya Kitanganyika. Nakumbuka nikiwa mdogo ilikua ni mwiko kwa mtoto yeyote kwetu nyumbani kwenda kwa jirani kuomba, yaani mama yetu alikua ameweka sheria noma noma.
Wakenya wapo wanaokuja Tanzania, labda hata wengine wanafanya kazi duni huko, lakini mwisho wa siku wanakula kwa jasho lao bila kuomba omba pembezoni mwa barabara.
Nyie mnaacha nchi iliyoneemeka kwa kila kitu, amani, ardhi kubwa yenye rotuba, madini kila mahali, gesi, vivutio bora va watalii n.k. halafu mnakwenda kuomba omba barabarani kwenye nchi za watu. Huo ni uvivu na uzembe wa kufa mtu, nimemskia mara nyingi rais wenu Magufuli akisema mfanye kazi, lakini ukweli Nyerere aliwaponza na ujamaa wake maana aliwafanya mkawa wavivu kupitilizia. Yaani rais wenu ana kazi na sio haba, kabla afaulu kuwabadilisha kimawazo na kifikira itachukua muda mrefu.
Hebu tazama hii video
Wewe tatizo lako unaona shega sana na watu hao ambao hawafiki hata kumi. Huku majambazi toka Kenya yanakamatwa na mengine kupigwa risasi kila kukicha. Wewe unaongea nini wewe?Hili suala la omba omba naona umelidandia juzi, Watanzania waliozagaa kwenye pembezoni mwa barabara za Kenya wanafahamika mikoa waliotoka. Sio mikoa yote, maana kwa mfano Wachagga wamejaa Kenya lakini wanajituma balaa na hutawaona wakiomba omba, ila hawa wametokea hadi Shinyanga na hata Dodoma. Soma kwa mfano huyu hapa wa Shinyanga ‘Tanzanian’ beggars fake disability to reap from Nairobi streets
How foreign beggars strike it rich in Kenya
Tanzanian beggars arrested in Nakuru » Kenyan News - Latest News in Kenya, Africa
Kenya-Tanzania: Trafficking handicapped children and the economy of misery | East & Horn Africa
Kenya: Couple Arrested For Placing Physically Challenged People on Streets to Beg
Lazima aje haraka, hawezi kuacha mafala wanachafua jina la nchi yeke kwa propaganda zao za kifala. Hata Mimi ningekuja. Umaskini wetu tunaujua sisi na tunapambana nao, na sio fala toka nchi ya Kunya.Mkuu kwenye nyuzi kama hizi huwa unakuja mbio kweli.
Kuna vitu huwa vinanishangaza yaani mtanzania avuke border kwa ajili ya kuomba!!!!....
isitoshe hao ni ndugu zenu wakenya akina wambura,otieno,olwoch.....
Siongei kwa ajili ya mada hii ila kiukweli watu wa musoma wengi wana ndugu zao huko kisumu na pahala pengine ambapo hata wajaluo hukaa..hivyo kupatikana huko hata sioni shida labda kama wangepatikana watu wa kuanzia tanga
By the way,miaka ya 2008 kulikuwa na wanawake wakenya wanajiuza katika club 84 dodoma na hili lilijulikana kutokana na minenguo yao ya macasino na hata wakati wa bunge,makahaba kutoka nchi za Afrika mashariki huja lakini huwezi kumkuta mtanzania akijumuisha masuala ya mtu binafsi kwa jamii nzima
Wasaidieni ndugu zenu
Hakuna mtu toka kanda ya ziwa akawa omba omba. Naona issue yenu ya ujambazi kikuyu empire huku bongo tunawapiga risasi tu.Watanzania wanaokuja huku kuomba omba wengi wametokea Shinyanga, wengine hata Dodoma.
Weak people are Kenyans.......No wonder tanzanians love to use the word "naomba" they beg the shopkeeper to sell them goods. They Beg the waiter/waitress to serve you. "Naomba" this, "naomba" that. Begging and laziness is in their nature.
Tanzanians are just mentally weak people. Ujamaa really f*cked them up