Tanzanian beggars arrested in Nakuru

Kenyans hata mfanye nini,nchi yenu haiwezi lingana na Tanzania,Majivuno yakijinga na Kejel ni maneno ya kufurahisha sana,

UMASKINI UPO DUNIAN KOTE HATA ULAYA KUNA MASKIN WEWE LEO HII NA KENYA YENU MNAANZA KUSEMA TZ NI NCHI YA OMBA OMBA,MBONA MISAADA MKILETEWA MNAPOKEA?
SHAME ON!
HAKUNA NCHI AFRICA YAKUMCHEKA MWENZIE,UNA UCHI UNACHEKA UCHI WA MWENZIO,,,,KKKKKKKKK
MTAUNA KWA UKABILA UCHAGUZ UJAO
 
weee bwege, acha kukurupuka ovyo,wabongo wamejaa miji mingi kenya kazi omba omba.sasa unatoa povu sababu ukweli umesemwa.
 
Hiyo ni kauli tu ya ukarimu tuliyolelewa nayo.
Labda wewe ulitaka tutumie kauli IPI?











Kilimanjaro iko Kenya.
 
Wakenya ni masikini sana wan siasa, wao ni matajiri sana

Mkenya masikini haezi kumiliki ardhi na ndio ujinga wao walivyofungwa minyororo
 
Mwaka huu haturuhusu nafaka kuvuka boda, ya kenya miaka yote tunawaokoa kwa chakula
 
acha povu jamaa,kubali nchi ina maskini wengi tu sio majivuno ya kitoto.
Sawa akubali tu kila kitu, kuna majambazi wangapi wa Kenya wapo huku tarime wanatusumbua kila uchao,
Wakiiba tu wanakimbilia Kisii,
 
Pole zao, kule nchini kwao wanasema kuna ardhi kubwa, madini, vivutio vya utalii na kila kitu, sasa sijui mbona wanashia kuhangaika hivi hadi wanakua omba omba kwenye nchi jirani.
Usiwe mshabiki wa vitu vya kijinga. Unataka kumaanisha kuwa Kenya hakuna masikini au hao beggars. Afrika tumekuwa na ufinyo wa mawazo kuanzia kwenye mambo ya kijamii hadi ktk maswala ya kiuchumi. Just thinking positive all the time. Beggars hawapo Tanzania pekee yake wapo Kenya na afrika kwa ujumla. It's matter for all countries in the world.
 
weee bwege, acha kukurupuka ovyo,wabongo wamejaa miji mingi kenya kazi omba omba.sasa unatoa povu sababu ukweli umesemwa.

Wewe kweli utaweza kudumu hapa JF. Umejiunga juzi tu na hii comment yako ya kwanza unaanza kutoa maneno ya kipumbavu kama mwehu. Au umetoka chuo cha wehu!!?. Yaani omba omba wasijae dar waende wakaje kwenu!!? Wewe mwehu nini? What so special waende kenya? Hivi ni namna gani ulivyo mwehu raia wa nchi nyingine akienda nchi tofauti lazika awe na passport. Yaani hao omba omba wapo na passport? Kama hawana wafukuzeni kama wahamiaji haramu. Raia zenu wa kenya mnajichetua kuwa ni watanzania. Acha wehu dogo.
 
Watanzania wanaokuja huku kuomba omba wengi wametokea Shinyanga, wengine hata Dodoma.
Kwa shinyanga kwa kweli sidhani maana wale watu ni wachapakazi katika kujitafutia na fursa wanazo kiasi lakini dodoma huku kwetu ni specialist wa kazi hiyo lakini sidhani kama kuna atakayeweza kutoka dodoma kuja kuomba kenya maana hiyo nauli tu inatosha kumpa mtu mtaji hata wa kuuza nyanya na kuna baadhi ya mikoa mtu anaweza kuishi kwa gharama ndogo.....

Yaani bado sioni mantiki ya kusema watanzania watoke makwao waje kuomba Kenya maana hata ustaarabu wa wakenya na watz ni tofauti na kama ni huruma bhasi watz tumekithiri kiasi cha kuwafanya watu wa type hizo waishi town....

Lakini hakuna linaloshindikana chini ya jua..... hivyo yaweza kuwa kweli ingawa kwa kiasi kidogo
 
Again Kenyans calling Tanzanians poor and vice versa is like one midget accusing the other of being short. Go to Tanzania there are beggars, go to Kenya there are beggars, we're no different. Nairobi is full of people & kids sleeping outside because of poverty, just like Dar and all other places all over these countries. Yes Kenya has a bigger economy but to be honest, its impact on people south of the food chain is small. I can argue that due to the cost of things like food in Kenya its easy to starve than in Tanzania
 
Leta facts kwamba tanzania maskini zaidi kenya na mimi nitakupa jinsi kenya ilivyo maskini zaidi ya Tanzania. Twende kwa facts siyo kuhororoja.
Africa is poor and of course will be. Wenzetu walioendelea wanapeana challenge na kushikana mikono kusonga mbele. So the poor Africans have time to show each other who is poorer. Shame on us [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
umeambiwa mie ni mgeni humu..
 
Blame those human trafficking syndicate.
pongezi kwa rotuba ya udongo tz na mali asili kwa wingi lakini blame lazy busybodies wasio na clue. exporting beggars right left!!
 
pongezi kwa rotuba ya udongo tz na mali asili kwa wingi lakini blame lazy busybodies wasio na clue. exporting beggars right left!!
Utatamani sana nchi yetu. Nyie mmelaaniwa ndiyo maana ni jangwa. Mwaka huu mtauana. Laana inawamaliza. Hatujawahi kubisha hodi kuja kwenu kuomba chochote. Nyie kila mara mnakimbilia TZ. Sasa hivi Uganda wapo kwetu. Mpaka 2020 mizigo ya uganda itakuwa inapitia kwetu. Mtabaki pekee yenu na majisifa ya kijinga. Huku Somalia wanawaua. Huku mko na ugomvi na Ethiopia, huku mko na ugomvi na s. Sudani.

Nadhani somo hamjaliona jinsi tulivyowachinjia bahari mkafa kama mende wakati wa uchaguzi kuhusu Amina Mohamed.
Uganda,Burundi, Rwanda na Tanzania ni ndugu wa damu.

Halafu siyo muda mrefu burundi inajiunga SADC. Itafuata Rwanda Kisha uganda. Mtakoma shenzi type.
 
Aisee habari za mujini zinasema ndo operation inaanza! Kueni kuwapokea hawa mende wenu apo mipakani, na msiwatelekeze mlivowafanyia wale wa msumbiji..patamu hapa ohooo
 
Aisee habari za mujini zinasema ndo operation inaanza! Kueni kuwapokea hawa mende wenu apo mipakani, na msiwatelekeze mlivowafanyia wale wa msumbiji..patamu hapa ohooo
Kenya hainaubavu wa kufukuza mtanzania yeyote tena kipindi hiki cha uchaguzi. Nakuhakikishia hamuwezi. Lakini sisi huwa tunawatimua kila muda.
Hivi unakumbuka issue ya drivers kutoka Arusha mlivyotaka tuliwabinya kidogo tu "K" zenu mkachojoa.
 
pongezi kwa rotuba ya udongo tz na mali asili kwa wingi lakini blame lazy busybodies wasio na clue. exporting beggars right left!!

No! Blame your lazy busy bodies importing those disabled beggars from Musoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…