Hivi ule mfumo wenu wa elimu wa mtu akimaliza kidato cha IV anaenda university bado mnao?! Trust me, you guys lack something kwenye discussion za aina hii!! Anzisheni zile discussion zenu za mapicha lakini issues kama hizi zinaonekana kuwa above your pay grade!Kwn ya tanzania ndio hayaongezeki...[emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784]
Wacha kuruka ruka hapa...we utanfundisha mm nn haswa...tatizo lako ni unafiki ndio unakuumiza....kukubali tu kitu kidogo bado unashindwa....Man, ikiwa unashindwa kuelewa kitu kidogo kama hicho hivi kuna kingine unachoweza kuelewa wewe?! Hapa hatuzungumzii raw figures, bali percentange of raw figures! Au hufahamu maana ya raw figures?! Narudia, by raw figure hiyo 30% ni pesa nyingi lakini inasaidia kuondoa little debt burden compared na anayetumia 49% hata kama kwa raw figure anaweza kuwa analipa kidogo! Yaani hapo kuna mmoja ana-struggle kuwa na clean sheet na mwingine ana-struggle kupunguza angalau kidogo ingawaje anajua kadri sehemu kubwa ya deni inavyobaki, ndivyo linaongezeka zaidi! Na mnalazimika kufanya hivyo kwa sababu, debt service to revenue collection ime-exceed!
Sifa ya mtu mpumbavu ni kukataa kujielimisha, wapi umesikia mtanzania alisema hatukopi?, tunachosema ni kwamba tunajenga SGR kwa pesa yetu, kitu ambacho ninyi mumekopa na muneshindwa kumalizia pale China alipowakatalia kuwakopesha.Venye nimesoma Hadi nikaona umesema bado mnakopa nimeachia hapo,izo zingine ni bla bla bla .....next time tumia akili wacha kutumia kutumia mavi
Hahahahaha, unabisha hata kwenye ukweli, sema wewe deni lenu limefikia kiasi gani kabla sijakuletea link ili nikusambaratishe.Leta hyo link ya 60%
Hhhh!!!wacha kururuka hapa...[emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784]leta hyo 60% tuioneHahahahaha, unabisha hata kwenye ukweli, sema wewe deni lenu limefikia kiasi gani kabla sijakuletea link ili nikusambaratishe.
Kumbe umekurupuka 🤣 🤣🤣 , kwa sababu kama usingekurupuka, ungeona post yangu ya pili ambayo nilisema:-
Kwahiyo wewe ni Wakenya wenzako mnafurahia kurundika madeni ambayo yanaongezeka kwa riba ya 31%!!! What's wrong with you guys?! Anzisheni zile posts zenu za mapicha mapicha manake ndo mnaziweza zaidi lakini sio posts zinazohitaji critical analysis!!
Hahahahaha, unabisha hata kwenye ukweli, sema wewe deni lenu limefikia kiasi gani kabla sijakuletea link ili nikusambaratishe.
Time will tellCould this be the reason why Danganyikans do not know why Danganyika is the poorest country in the world ? ?
Jifunze tofauti ya kutumia ratio na absolute figures, acha ujinga30% ya $30bln ni kubwa kuliko 49% ya $14bln..bwahahaaa
Leta hyo link ya 60%
Hata viongozi wao wapo hivyo, hawa jamaa vichwani ni corruption na tribalism, hawana zaidi vichwani mwaoHehe Yaani Kwa akili zenu mnakuja hapa kubeza Tz eti wanalipa madeni yao kwa kasi kuliko kenya[emoji23][emoji23][emoji23]
Wakenya wengi walienda shule kusomea ujinga. I cant beliece this hahahaha
Leo nimeshangaa sana aisee..Yaani kenyatta amewaaminisha kuwa deni likikaa bila kulipwa ni bora eti kanakwamba ni tasa halizai riba.Hata viongozi wao wapo hivyo, hawa jamaa vichwani ni corruption na tribalism, hawana zaidi vichwani mwao
Pumba hii sio Debt to GDP Ratio..hii ni budget allocated to Debt..Masomo yenu inafaa ichunguzwe kwanza wenzako 6 wamelike hii post inamaana hawajaelewa kinachoongelewa.You guys are very funny!! Deni la Kenya linakaribia USD +50Bn halafu mnasema hiyo ni 30%?! Au ni deni gani mnazungumzia manake Wakenya wa JF bhana; sijui mmeishia elimu ya upili!!I Yaani mara nyingi mnaonekana hamna hata uelewa wa mada ambazo huwa mnazileta nyie wenyewe!! Nyie mada mnazoziweza ni za kuweka mapicha from public domains; basi!!
Go read your public records kama hamjakuta deni la Kenya ni almost 60% of the country's GDP!!
our loans are friendly with repayment Period of upto 40 years.We pay more to our creditors despite we have very small debts, but we still build big projects from our own money.
You pay less, but you still borrow more, and you can't pay for your SGR, Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha.
USA debt ni 120% so usa imefilisika? NUGUHahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha. Nchi imefilisika hiyo.
Angalia akili hizi za huyu mkenya😂😂😂😂.our loans are friendly with repayment Period of upto 40 years.
consequences za kukula Albino ndio hayo.Angalia akili hizi za huyu mkenya😂😂😂😂.
Nyie watu mko na mavi kichwani naanza kuamini.haaaaaa🤭🤭
consequences za kukula Albino ndio hayo.