Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Huwezi kujibu maswali kwa sababu unaogopa majibu yako yatakuumbua kwamba hujui unachoandika?Unauliza za obvius.Swali lako ni kama kumuuliza mtu kama unamacho,huku ukijua wazi kabisa kwamba unayo.
Mwisho sitakuambia avatar yako ina signify nini kwa kuwa unajua.
Sent using Jamii Forums mobile app