tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,315
Ohoo ulikuwa unasikitika kwanini?Juzi kati kuna interview ya mtu fulani hapo majibu aliyokuwa anatoa nikawa nasikitika tu..Usiniulize ni nani
Sijataja mtu lakiniSi useme tu ni Lara1 ...
Wacha kuzunguka zunguka ww joserverest 😀 😀
Acha tu mkuu, kama ndio maisha halisi anayoishi yale basi kazi ipo!!Ohoo ulikuwa unasikitika kwanini?
Mkuu ni role model wa wadda wengi hapa JF. .Acha tu mkuu, kama ndio maisha halisi anayoishi yale basi kazi ipo!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] jombii sijamtaja Jina hapa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mkuu ni role model wa wadda wengi hapa JF. .
Subili watakuwashia moto mda si mrefu
Mkuu kuna siku niliuliza hilo swali,wabeijing walinijia mbogo mpk nikajionea why niliuza!Kwanini unahoji wanawake tu? Unachukua hatua gani kuhakikisha wanakupa majibu ya kweli? So far nilivyofuatilia wawili walikuwa wanakupa majibu ya uwongo, usiniulize ni akina nani ila fahamu hivyo.
Itakuwa yule coconaniliu!Juzi kati kuna interview ya mtu fulani hapo majibu aliyokuwa anatoa nikawa nasikitika tu..Usiniulize ni nani
OhooItakuwa yule coconaniliu!
Mkuu humu watu pretend sasa unasikitika nini kwa watu wanao pretend?!Acha tu mkuu, kama ndio maisha halisi anayoishi yale basi kazi ipo!!
Teh! Wewe endelea kutoamini hivyo hivyo!Acha tu mkuu, kama ndio maisha halisi anayoishi yale basi kazi ipo!!
Teh! Wewe endelea kutoamini hivyo hivyo!Acha tu mkuu, kama ndio maisha halisi anayoishi yale basi kazi ipo!!
Kweli mkuu... ila wengine unakuta ni real life manMkuu humu watu pretend sasa unasikitika nini kwa watu wanao pretend?!
Sawa mkuu...Lakini Interview angalau iwe na kitu fulani cha kuhamasisha watu wafanye mema kuliko maigizo mengi ya kujifanyishaTeh! Wewe endelea kutoamini hivyo hivyo!
Teh! Wewe endelea kutoamini hivyo hivyo!
Njoo ninong'onezeKwanini unahoji wanawake tu? Unachukua hatua gani kuhakikisha wanakupa majibu ya kweli? So far nilivyofuatilia wawili walikuwa wanakupa majibu ya uwongo, usiniulize ni akina nani ila fahamu hivyo.
Are u stalking me?Njoo ninong'oneze
Yes... YouAre u stalking me?
Ni kweli ukizingatia watu hatujuani hapa ni bora kuwa mkweli.Sawa mkuu...Lakini Interview angalau iwe na kitu fulani cha kuhamasisha watu wafanye mema kuliko maigizo mengi ya kujifanyisha
[emoji6] [emoji6]Yes... You
Are u stalking me?
kweli kabisaNi kweli ukizingatia watu hatujuani hapa ni bora kuwa mkweli.
bora maana ni aibu kufanyiwa interview afu ukadanganya bora ukwepe kujibu haadhi ya vitu kama nilivyofanya. nilikuwa nakwepa kijanja ila vingine vyote ni sahihi.Ndyo wewe haupo