Tanzanian lady interview!

Kwanini unahoji wanawake tu? Unachukua hatua gani kuhakikisha wanakupa majibu ya kweli? So far nilivyofuatilia wawili walikuwa wanakupa majibu ya uwongo, usiniulize ni akina nani ila fahamu hivyo.
Mkuu kuna siku niliuliza hilo swali,wabeijing walinijia mbogo mpk nikajionea why niliuza!
 
Kwanini unahoji wanawake tu? Unachukua hatua gani kuhakikisha wanakupa majibu ya kweli? So far nilivyofuatilia wawili walikuwa wanakupa majibu ya uwongo, usiniulize ni akina nani ila fahamu hivyo.
Njoo ninong'oneze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…