Tanzanian Lodge Named Best Hotel in The World

Tanzanian Lodge Named Best Hotel in The World

Ubinafsi unatumaliza watz, viongozi wetu ni wabinafsi sana. Hawawafikirii waliopo juani maana wao wapo kivulini.
Posho za vikao nikurekebishe namba tano; msaada hata kama ni mdogo kiasi gani wa manufaa maana kabla ya hapo hukuweza kujisaidia. Kama anarudisha kwa jamii basi anafanya jambo la heri.

mkuu ile misaada ni danganya toto na ni misaada ya kufunika kombe tu, hata wakoloni kabla ya kututawala walikuja na gia hizo hizo.

mfani mzuri ni kule nyamongo, wale watu wa mgodi wana fanya na shughulu za kijamii pale mgodini but, in reaaruty zile ghalama wanazo tumia kwenye shuguri za kijamii hazilingani na mali wanazo pola kule, ni sawa na yone la maji baharini
 
analysis yako inamake sense lakini nakupinga hapo kwenye red.
Ina maana huu utitiri wa universities hapa bongo ni bure? Vijana si wanamaliza college by thousands every year? Na hawa vijana sio maimuna
Angepewa ardhi ya shamba na sharti kuwa alime hayo mazao in that way locals watapata ajira ktk kilimo.

sio kila Graduate anayemaliza chuo hapo TZ anaweza ajiriwa kwenye hospitality sector (Tourism Industry),, vipo vyuo vichache vinatoa hiyo elimu lakini graduate wake hata kujieleza kwa lugha la malkia kwa dakika tano ni issue. naomba uelewa hii bishara ni very competitive, na kila mtu akipata wageni anataka kuhakikisha wanapata huduma kuendana na hadhi ya facility zao. ka taarifa yako wafanyakazi wengi wahizi hoteli wanatoka kenya na Uganda unalijua hilo?
 
sio kila Graduate anayemaliza chuo hapo TZ anaweza ajiriwa kwenye hospitality sector (Tourism Industry),, vipo vyuo vichache vinatoa hiyo elimu lakini graduate wake hata kujieleza kwa lugha la malkia kwa dakika tano ni issue. naomba uelewa hii bishara ni very competitive, na kila mtu akipata wageni anataka kuhakikisha wanapata huduma kuendana na hadhi ya facility zao. ka taarifa yako wafanyakazi wengi wahizi hoteli wanatoka kenya na Uganda unalijua hilo?
Nakubaliana na wewe hii biashara ktk hospitality industry is very competitive.
Kwa maana hiyo vyuo vyetu vingi vinatoa too much maimunas hadi jamaa aende Kenya na Uganda?
 
si kweli, lile jeshi lake lina ajenda nyingine, kwa nini? Tanapa walimwambia kwamba awatumie maasikari wa national park kulinda kule akakataa. Tatizo mkuu ni vigumu kuamini but ukweli ni kwamba yule mzungu ana ajenda zingine pale,

Mkuu hizo ni tarari´ra za mtaani, na mmezoea majibu ya kisiasa kwa kila jambo

Agenda gani? yeye agenda yake kubwa ni kulinda wanyama wake NA HAKUNA LINGINE ndo maana ameajiri vinana wengi kulinda hao wanyama.unajua jamaa alitumia kiasi gani cha DOLA kuleta faru kutoka South Africa? si moja ya faru aliuwawa ndani ya miezi mitatu? sasa wewe ulitaka aajiri wakoloni wamlindie wanyama wake?

amkeni ndugu, kwani yaelekea mnasubiri mkombozi aje awaamshe
 
Nakubaliana na wewe hii biashara ktk hospitality industry is very competitive.
Kwa maana hiyo vyuo vyetu vingi vinatoa too much maimunas hadi jamaa aende Kenya na Uganda?

Ndo maana yake,
naona unauliza msikiti Saudia sasa

Unataarifa kwamba kunagradute huwezi hata kuwashindanisha na vijana waliohitimu kidato cha 4 Kenya?
 
Mkuu hizo ni tarari´ra za mtaani, na mmezoea majibu ya kisiasa kwa kila jambo

Agenda gani? yeye agenda yake kubwa ni kulinda wanyama wake NA HAKUNA LINGINE ndo maana ameajiri vinana wengi kulinda hao wanyama.unajua jamaa alitumia kiasi gani cha DOLA kuleta faru kutoka South Africa? si moja ya faru aliuwawa ndani ya miezi mitatu? sasa wewe ulitaka aajiri wakoloni wamlindie wanyama wake?

amkeni ndugu, kwani yaelekea mnasubiri mkombozi aje awaamshe

Prodigal son, nimekukubali. Unajibu mada kwa facts. Who knows may be Tanapa hao hao ndio wanashirikiana na poachers. Kila siku meno ya tembo yanasafirishwa na Tanapa si wapo? Hapo nakubali kwa nini alikataa kutumia askari wa Tanapa. Ila hilo la lughaya malkia bado nakataa.
 
Ndo maana yake,
naona unauliza msikiti Saudia sasa

Unataarifa kwamba kunagradute huwezi hata kuwashindanisha na vijana waliohitimu kidato cha 4 Kenya?

Pleaaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Hata kama elimu yetu iko ovyo lakini not to that extent.
Graduate wa varsity gani?
 
Prodigal son, nimekukubali. Unajibu mada kwa facts. Who knows may be Tanapa hao hao ndio wanashirikiana na poachers. Kila siku meno ya tembo yanasafirishwa na Tanapa si wapo? Hapo nakubali kwa nini alikataa kutumia askari wa Tanapa. Ila hilo la lughaya malkia bado nakataa.

Swala sio TANAPA cha kujiuliza wanachi wanafaidika je na uwepo wahizi mbuga na haya mahoteli ya kitalii? Tanapa kama taasisi rengers wake hawana njaa kihivyo na kwa taarifa yako hawa jamaa wako more displined kuliko hata jeshi la polisi

Usiwe mgumu kuelewa Hifadhi ya huyu jamaa iko nje ya mipaka ya hifadhi ya taifa ya serengeti, so TANAPa hawana mamlaka kisheria kuja kumlindia wanyama wake
 
mkuu hebu fikiria jambo hili
wawekezaji wanaosifika kimataifa
wamewekeza kwenye nchi nyingi bila skendo
wanakuja kuwekeza kwako,
unapeleka kamati ya wabunge,
jiulize huu utamaduni wa kamati za bunge kwenda kwenye luxury resorts
upo nchi ngapi??????/

je utamlaumu muwekezaji akiwafukuza,wakati uko koote
alipowekeza hakukutana na usumbufu huu???????

na hiyo kamati ya bunge ingeleta usumbufu gani kwa watu
waliolipia pesa nyingi wapumzike bila kelele?????/
hakuna anaejua,??
Boss,
Huyu jamaa alitaka kuwekeza hapa Marekani kwenye mbuga za Yellowstone akapigwa chini. Kwa hiyo hiyo ya uwekezaji wa kimataifa si hoja.
Ubaya wa Tanzania ni kwamba ukishajuana na rais na waziri wa mambo ya nje basi wewe mambo yako yameshanyooka. Huyu Tudor niliwahi kumkuta nyumbani kwa balozi wa Tanzania (Daraja) wakati huo anafukuzia kibali cha ujenzi wa hekalu lake.
 
Swala sio TANAPA cha kujiuliza wanachi wanafaidika je na uwepo wahizi mbuga na haya mahoteli ya kitalii? Tanapa kama taasisi rengers wake hawana njaa kihivyo na kwa taarifa yako hawa jamaa wako more displined kuliko hata jeshi la polisi

Usiwe mgumu kuelewa Hifadhi ya huyu jamaa iko nje ya mipaka ya hifadhi ya taifa ya serengeti, so TANAPa hawana mamlaka kisheria kuja kumlindia wanyama wake
Wananchi wa Mugumu hawafaidiki chochote na ujio wa Tudor katika ujirani wao. Eneo la Grumeti alilogawiwa tangu enzi za ukoloni lilikuwa ni eneo wanakoruhusiwa wazawa kuwinda, lakini tangu apewe eneo hilo ndugu zetu wanakufa njaa. Labda ndio maana ujangili umeshamiri. Sidhani kuna mamlaka yeyote yanayomdhibiti Tudor amepewa carte blanche afanye apendacho na serikali ya Mkapa/Kikwete.
 
habari nzito sana kama yote yaliosemwa ni kweli
Kwa serikali tuliyonayoWala hata si shangai kabisa...Wanaweza kuuza kitu chochoteMtu akija na fedha ya maana...Hawajali vitu vingine ni mali ya TanzaniaKwa ajili ya Watanzania...
 
Kwa serikali tuliyonayoWala hata si shangai kabisa...Wanaweza kuuza kitu chochoteMtu akija na fedha ya maana...Hawajali vitu vingine ni mali ya TanzaniaKwa ajili ya Watanzania...
Kama ni kweli inahuzunisha sana
 
prodigal son, nimekukubali. Unajibu mada kwa facts. Who knows may be tanapa hao hao ndio wanashirikiana na poachers. Kila siku meno ya tembo yanasafirishwa na tanapa si wapo? Hapo nakubali kwa nini alikataa kutumia askari wa tanapa. Ila hilo la lughaya malkia bado nakataa.

vuvuzela mimi napingana na nyie kabisa kwanza ni kweli kwamba jamaa ali invest pesa nyingi sana kwenye hayo hoteli, but ukweli unabakia pale pale kwamba jamaa ana agenda nyingine za siri ukiachiria mbali ishu za utarii.

1 kama usha wahi kufika serengeti kuna sehemu inaitwa fort ikoma, zamani ilikuwa ndo chuo cha jeshi kabla nyerere hajaamua kukihamishia mondulu, pale fort ikoma paliko kuwa na kambi ya jeshi kuna madini ya kufa mtu na ule wote mpka kwenye hifadhi ya huyo mzungu ni ukanda wa dhahabu na imeenda mpaka sehemu moja inaitwa nyigoti ambapo mpaka leo hii kuna wachimbaji wadogodogo, hayo ni maeneo ambayo yana mnyima huyo mzungu usingizi

kule fort ikoma huyo mzungu anapataka kwa ghalama yoyote ile. Na pale ishu si wanyama tena but ni madini
.
 
wananchi wa mugumu hawafaidiki chochote na ujio wa tudor katika ujirani wao. Eneo la grumeti alilogawiwa tangu enzi za ukoloni lilikuwa ni eneo wanakoruhusiwa wazawa kuwinda, lakini tangu apewe eneo hilo ndugu zetu wanakufa njaa. Labda ndio maana ujangili umeshamiri. Sidhani kuna mamlaka yeyote yanayomdhibiti tudor amepewa carte blanche afanye apendacho na serikali ya mkapa/kikwete.

mkuu hongera sana kwa kulifahamu hilo, ni kweli kabisa, but mimi kinacho niuma kuliko vyote ni huu mkataba wa miaka 99 can u imegine, miaka 99 it means wajukuu wetu ndo watakao kuwepo wakati mkataba utakapo isha.
 
Swala sio TANAPA cha kujiuliza wanachi wanafaidika je na uwepo wahizi mbuga na haya mahoteli ya kitalii? Tanapa kama taasisi rengers wake hawana njaa kihivyo na kwa taarifa yako hawa jamaa wako more displined kuliko hata jeshi la polisi

Usiwe mgumu kuelewa Hifadhi ya huyu jamaa iko nje ya mipaka ya hifadhi ya taifa ya serengeti, so TANAPa hawana mamlaka kisheria kuja kumlindia wanyama wake


wewe c umesema ulisha wahi fika pale? Ile hifadhi yake kumbuka iko wazi na wanyama wana move kutoka TANAPA kwenda kwake na kutoka kwake kwenda TANAPA,
INGAWA YEYE BINAFISI KUNA UMAFIA ALITAKA KUWAFANYIA TANAPA WA KUSUBIRIA WANYAMA WENGI WAMEINGIA KWENYE ENEO LAKE HALAFU APIGE FENSI.
 
boss,
huyu jamaa alitaka kuwekeza hapa marekani kwenye mbuga za yellowstone akapigwa chini. Kwa hiyo hiyo ya uwekezaji wa kimataifa si hoja.
Ubaya wa tanzania ni kwamba ukishajuana na rais na waziri wa mambo ya nje basi wewe mambo yako yameshanyooka. Huyu tudor niliwahi kumkuta nyumbani kwa balozi wa tanzania (daraja) wakati huo anafukuzia kibali cha ujenzi wa hekalu lake.

ni kweli kabisa but nasikia uganda walimpiga stop asiwekeze kwenye mbuga za kule, na hata kenya nahisi kitu kama hicho
 
Back
Top Bottom