C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,743
Wadauz;
Leo hebu tuwajadili wanawake waliofanikiwa kwa kila proffesional anayoifanya wa Kitanzania kuanzia biashara, kwenye taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali, makampuni, sanaa na michezo pamoja na ujasiliamali.
Na naomba ukiwa unataja mtu taja na aidha kazi yake then utuambie kwa nini unahisi she is successful, kipi kilichokuvutia kwake? kipi ulichokiona kwake ukasema yes she is successful.
Mfano mie binafsi namtaja Mwamvita Makamba, kwa position yake aliyoifikia, kwa Assets alizonazo ni kwamba ameweza ku-achieve everything ambacho mtu yeyote anataka awe nacho;
- Money
- Power
- Respect
Twendee....
Leo hebu tuwajadili wanawake waliofanikiwa kwa kila proffesional anayoifanya wa Kitanzania kuanzia biashara, kwenye taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali, makampuni, sanaa na michezo pamoja na ujasiliamali.
Na naomba ukiwa unataja mtu taja na aidha kazi yake then utuambie kwa nini unahisi she is successful, kipi kilichokuvutia kwake? kipi ulichokiona kwake ukasema yes she is successful.
Mfano mie binafsi namtaja Mwamvita Makamba, kwa position yake aliyoifikia, kwa Assets alizonazo ni kwamba ameweza ku-achieve everything ambacho mtu yeyote anataka awe nacho;
- Money
- Power
- Respect
Twendee....