Dah! Ila maneno wanayoyasema kama ni kweli basi hiyo Tanzania yenu inatumbukia mkiona kwa amcho yenu, huyo Msigwa anasema tayari anatafutwa na polisi huko nyumbani.
Hii Afrika tuamue kimoja, labda tuache hiki kiigizo tunaita demokrasia, tuishi chini ya utawala wa kiimla kama Korea Kaskazini au tukubali demokrasia ya kweli, haya maigizo ya kudanganya wazungu ili waendelee kutupea misaada ni aibu tupu.
Nani ana account 10, umeandika upoyoyo. Wakenya hawawezi kusikiliza ujinga wako, tulia dawa ikuingie.Enyi wakenya, hawa wapinzani wa bongo ni hovyo sana na mashabiki yao kama nyumbu yenye akaunti kumi kumi huku wanadhani wana effect on the ground.
Wanalilia demokrasia wakati chama Chao kinaongozwa na mwenyekiti dikteta wao since their genesis, Mr Mbowe.
Na kiingereza Chao broken, they are not even proud of their language, at least Magufuli yeye he doesnt pretend huwa anabonga swahili mwanzo mwisho.
Huyo mwanasheria wao alietwangwa risasi alikuwa anaitisha press anasema Magufuli anatumia wrong approach kudeal na hao miners and that their company would sue us, kumbe tayari serikali ilishaweka sleeper cells in those companies, they had extracted all essential information and leaked them to the government, sasa hakuna cha kesi waliyofungua hadi sasa hivi, wamebanwa kwenye mazungumzo wanaongeza tu idadi ya negotiators.
Sasa wanaleta maneno huko kwenu kuonesha ubaya wa Magufuli.
They will fail
Kwani hujui kilichowapeleka kule? Au unajitia hamnazo?Upinzani wa Tanzania ni kitendawili, mimi sijawahi kuona upinzani wa nchi zilizoendelea kidemokrasia, Marekani Canada au EU nk, mpinzani anaondoka nchini kwake na kwenda kuiponda nchi yake akiwa nchi nyingine. Huo ungekuwa mwisho wa his/her political career.
nikatae nilichoandika? kwa nini nikatae. Kwani nimeandika uwongo, onyesha uongo hapoBogus anajulika tuu hata akiandika kwa kingereza, naona umeamua kuuthibitishia umma wa JF ni kwa kiwango gani uko bogus nafikiri ukirudia kusoma ulichoandika unaweza kukataa kama ni wewe uliyeandika
Inatumbukia wapi? Na wewe ni wale wale tu, mnatambulika kwa maandishi yenu tu na hila zenu mbaya.Dah! Ila maneno wanayoyasema kama ni kweli basi hiyo Tanzania yenu inatumbukia mkiona kwa amcho yenu, huyo Msigwa anasema tayari anatafutwa na polisi huko nyumbani.
Hii Afrika tuamue kimoja, labda tuache hiki kiigizo tunaita demokrasia, tuishi chini ya utawala wa kiimla kama Korea Kaskazini au tukubali demokrasia ya kweli, haya maigizo ya kudanganya wazungu ili waendelee kutupea misaada ni aibu tupu.
Hivi ni nini kilichowapeleka kule, usalama, matibabu, au kuonekana kwenye TV za nje? "Actually" Kazi waliotumwa na wananchi na kuwapa ugali wameikimbia.Kwani hujui kilichowapeleka kule? Au unajitia hamnazo?
hawajaponda nchi wameponda utawala mbona Mandela alizunguka dunia nzima kuelezea ubovu wa sera za serikali ya makaburu hata kipindu kerry akiwa ameangushwa na bush aliwahi kuwa interviewed na BBC akakosoa sera za marekani hapo akiwa uingereza ssa kipi cha ajabu wanakosoa utawala wa kidikteta kwenye chombo cha habari ili dunia nzima ifaham sasa kosa lao likwapi???Upinzani wa Tanzania ni kitendawili, mimi sijawahi kuona upinzani wa nchi zilizoendelea kidemokrasia, Marekani Canada au EU nk, mpinzani anaondoka nchini kwake na kwenda kuiponda nchi yake akiwa nchi nyingine. Huo ungekuwa mwisho wa his/her political career.
Boss how did u find out that nobody cares??? Seeking sympathy on which grounds??? Brother that was an interview to talk abt the issue which brought them to kenya which turns out to be caressing lissu's wounds of 8 bullets!!! then what did u expect them to talk about! since when is stressing out facts has turned out to be sympathy-seeking????I will stick to the content
I thin Both the host and her guests didn't prepare for the interview!
*The young lady says Lissu was shot in dar es salaam, whilst he was shot in Dodoma.
* Bulletins on the screen indicates tht Tanzania got her independence in December 1962. The truth is, Tanzania was never colonized! It existed after the colonial era in Tanganyika and Zanzibar! Nevertheless, non of the two states attained independence in the year of 1962!
I think this justifies that some Kenyans are less informed abt their neighboring countries!.
On the side of my tz brothers, it was totally a waste going all the way to the KTN studios just for the purpose of talking such negativities! I knw their motive was to seek sympathy from Kenyans, but it has turned out that no body cares abt what they said (content), rather everybody is shocked with their poor presentation!
I'm shook, An MP and a shadow minister for foreign affairs complaining abt political rallies? Is there any Kenyan who cares abt this?
I think these guys need to drop down here & do as many interviews as they wish! All the Media here are eagerly waiting for them!
Hivi wakenya mnajivunia lugha gani? Kiswahili hamjui na hicho kiingereza pia hamkijui. Mlitaka waongee kikikuyu?Waaah... I laughed throughout the interview.... Their English was an absolute comic......kwanza the mp from Arusha...
Your stup..ty made you laugh. Kwani uliarifiwa kuwa MPs wetu ni waingereza? Ila angekuwa mchina anaongea hivyo ungemfurahia mpaka kutamani umkaribishe kwenu. Hide your *$#÷% through your silenceWaaah... I laughed throughout the interview.... Their English was an absolute comic......kwanza the mp from Arusha...
The target audience was an international one, wamejitahidi kuwasilisha kwa lugha ya wageni.heri wangeulizwa kwa kiswahili
lugha ya english ni shida nchini kwetu sababu ya sera mbovu ya serikali miaka nenda rudi hivyo hta msigwa kajitahidi sana tu mkuu maana kaeleweka vzuri tu anachojaribu kusema maana mtangazaji alikuwa ana highlight keywords anazosema msigwa ili kuunda maswali ya mtiririko huo so mi naona it was average mkuu kwa msigwa ila lema it was poor kwakweliHa ha ha hiki kingereza chao nilifikiri ni Pwagu na Pwaguzi. Msigwa anapochanganya R na L hivi hajui kuwa Row na Low ni vitu tofauti?
Na yule mwingine ni ze ze ze nilifikiri anataka kujibu kwa kifaransa kumbe anaongea kichaga kwa kingereza[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbaya zaidi mdada wa Kikenya kawafunika sana. Kuna siku nilileta mada hapa huu mchezo wa kiswahili primary na kingereza sekondari ubadilishwe.
Matokeo yake ndio haya. Kwani walilazimishwa kuongea kingereza?
Hakuna mzungu atawaelewa hawa bila ya mkalimani. Waendelee tu kuwa mawaziri vivuli.
Ukizingatia mambo ya kiserikali ni beyond spoken language. Uwaweke na Obama hawa kitaeleweka kitu?
Tunawaombea marudio ya uchaguzi yenye amani.Dah! Ila maneno wanayoyasema kama ni kweli basi hiyo Tanzania yenu inatumbukia mkiona kwa amcho yenu, huyo Msigwa anasema tayari anatafutwa na polisi huko nyumbani.
Hii Afrika tuamue kimoja, labda tuache hiki kiigizo tunaita demokrasia, tuishi chini ya utawala wa kiimla kama Korea Kaskazini au tukubali demokrasia ya kweli, haya maigizo ya kudanganya wazungu ili waendelee kutupea misaada ni aibu tupu.
By any chance, do you knw the difference btn Tanzania and Tanganyika? Saying that Tanzania was colonized and yet talking abt Tanganyika colonization proves that you are clueless abt the two! And the fact that you didn't show the position of Zanzibar in your explanation makes your argument logical.Tanzania was colonised go back into books and read your history well. Tanganyika was colonised in 1962 ,but they merged with Zanzibar in 1964 to form Tanzania. Tanganyika was under Germany after the first world war it was put under protectorate of Britain ,and latter got independence from British.