Maccm wenyewe ni mabeberu tuHeri wanaoitwa mabeberu kuliko CCM.
Unajimilikisha mahekari ya ardhi alafu unaacha wananchi wanagombania ardhi kidogo iliyobaki.
Huu ukabaila ni sawa tu na huo unaoitwa ubeberu.
Wanaitwa mabeberu au mabwana wa CCM.Heri wanaoitwa mabeberu kuliko CCM.
Unajimilikisha mahekari ya ardhi alafu unaacha wananchi wanagombania ardhi kidogo iliyobaki.
Huu ukabaila ni sawa tu na huo unaoitwa ubeberu.
mnawaita mabeberu kwasabb yanawapanda maccm sanaaWatanzania hatuchagui mtu aliyetumwa na Mabeberu kuiba raslimali zetu
mnawaita mabeberu kwasabb yanawapanda maccm sanaa
Kikwete, Kinana, Nape na January Makamba ndio walituchongea hiki Kinyago hivyo wana wajibu wa kukigeuza kuniTanzania’s biggest opposition parties will proceed with plans to name a single presidential candidate for elections later this month, even as the country’s electoral body temporarily barred their most likely flag bearer from campaigning
Wakuu kama mnavyojua Bloomberg ni chombo cha habari mojawapo kikubwa cha wale mabeberu au sometimes washirika wa maendeleo naona wanautolea macho uchaguzi wetu. Twendeni taratibu..tusitengeneze Zimbabwe yetu hapa EA
View attachment 1588600
Tundu Lissu
Someni wenyewe hapa kwenye link
Tanzanian Opposition Press for Single Presidential Candidate
Mungu wabariki WazunguTanzania’s biggest opposition parties will proceed with plans to name a single presidential candidate for elections later this month, even as the country’s electoral body temporarily barred their most likely flag bearer from campaigning
Wakuu kama mnavyojua Bloomberg ni chombo cha habari mojawapo kikubwa cha wale mabeberu au sometimes washirika wa maendeleo naona wanautolea macho uchaguzi wetu. Twendeni taratibu..tusitengeneze Zimbabwe yetu hapa EA
View attachment 1588600
Tundu Lissu
Someni wenyewe hapa kwenye link
Tanzanian Opposition Press for Single Presidential Candidate
Baniani kiatu chake dawa. Acha waitwe mabeberu na kila aina ya matusi, ila kwa hili swala la kumng'oa jiwe tunahitaji msaada wao.