Na yule mchora katuni aka Gado sijui atakuwepo?[emoji196]Bora aje ili apunguze vijimaneno vya baadhi ya Wakenya.
Hapa ndo shidah[emoji86]Ongea kiingereza ewe mtanganyika!
unatabia za kike, au mwanaume shoga.
Kah!!! Unajisifia lugha ya malkia, mtawala wenu wa zamani. Hakika wakenya bado mmetawaliwa kimawazo.Ongea kiingereza ewe mtanganyika!
Machungu!!Wa kike siyo wanadamu?...akiwa nazo so what?
Utafanya nini?...midanganyika mipumbavu kweli kweli!
mungiki punguza uzoba wako
Sema tunawaomba wakenya watusaidie kumpima afya ya akili kwenye mahospitali yao kwa sababu naamini angeweza kufanya vizuri zaidi bila makosa yasiyo ya msingi " my be samesing long is in he brain "Kenyatta in Sudan for a state visit as soon as magufuli is in kenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] he totally doesnt like that guy
Hehehe jameni mbavu zangu....nimecheka kama chizi.
JPM Karibu Kenya, naona anategemea kutembelea viwanda Thika. Ina maana atatumia flyover za barabara kuu ya Thika na atajifunza kitu.
Hapa ndipo napowasifu Wakenya.. Mko vizuri sana kwenye customer care na wajanja mno
No one hates you. Ni tabia yako mbovu inakufanya uwe katika kundi la kukosa. Sisi wa TZ hatunaga kinyongo na mtu. Lakini ukijishaua shaua na kujifanya uko juu wakati njaa inakutesa tuna kulipua tu.
Yeah kenya and half of africaKah!!! Unajisifia lugha ya malkia, mtawala wenu wa zamani. Hakika wakenya bado mmetawaliwa kimawazo.
Kenyans are still not free
Lofa mkubwa wewe. Sipo Uingereza hapa, nipo TANZANIA. Hicho Kiingereza chako cha kukariri nenda kaongee na wakenya wenzako.Ongea kiingereza ewe mtanganyika!
Nioneshe thread ipi nimeweka yenye lengo la chuki juu yenu?Acha kudanganya humu............HATER NUMBER ONE!
Nionyeshe bandiko lako hata moja tu humu,lisilo na risala za chuki dhidhi ya Kenya na wakenya!
"Pretenders are worse than murderers!"
Ama kweli, kumbe mnataka wakati watu wake wamemchoka!tunamtaka magufuli , mkitaka titawapa Uhuru pamoja na ruto badala ya magufuli.
But forget about TZ is a free country. Hatuamuliwi na wazungu tuongee lugha gani.Yeah kenya and half of africa
πππNioneshe thread ipi nimeweka yenye lengo la chuki juu yenu?
Ile misifa ya kijinga na kuiponda TZ ndio inatufanya tuoneshe mabaya yenu.
Kwani umeona tukiisema Uganda?
Ukiwa mstaarabu na sisi pia tutakuwa wastaarabu. Ukiwa bandidu sisi ni zaidi. Ndio maana sasa unalia lia kwamba TZs hate Kanyans.
But forget about TZ is a free country. Hatuamuliwi na wazungu tuongee lugha gani.
Kwa kifupi kujisifu kuongea lugha ya uingereza ni ushaba fulani na ni uboya pia.
Yeah... mnakula albino juu mnaamini wana wapea pesa!!....sawa jibambeBut forget about TZ is a free country. Hatuamuliwi na wazungu tuongee lugha gani.
Kwa kifupi kujisifu kuongea lugha ya uingereza ni ushaba fulani na ni uboya pia.
Kah!! Kenya inamatunda gani!!!? Hebu nioneshe na mimi nijue.πππ
Nishakuambia "pretenders are worse that murderers"............kinachowauma tunakielewa!
Mwaponde waganda wana nin cha ziada?.
TUNAWATISHA KWELI KWELI.......ππNA BADO, sio nyie tu, Afrika yote na Dunia kwa jumla!
Ama kweli ,mti wenye matunda,milele hupigwa mawe.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Yeah... mnakula albino juu mnaamini wana wapea pesa!!....sawa jibambe