Tanzanian President John Magufuli expected in the country Monday

β€’KATI YA HAWA TUNAOMBA MMOJA WENU AFUNGUE THREAD YA RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA ITAKAYOKUWA NA UKAMILIFU AU IMEJITOSHELEZA KUKIDHI KIU YA WANA JF,ASANTENI:-
***

nomasana, sam999 ,
NairobiWalker , hbuyosh ,
msemakweli , simplemind ,
Kimweri , Bulldog, MK254 ,
Kafrican, Ngongo,
Ab_Titchaz , mtanganyika
mpya , JokaKuu , Ngongo,
Askari Kanzu, Dhuks ,
Yule-Msee , waltham,
mombasite gabriel ,
Juakali1980 , Boda254 ,
mwaswast, MwendaOmo,
Iconoclastes , oneflash,
Kambalanick, 1 Africa,
saadeque , burukenge,
nyangau mkenya , Teen-
Upperhill Nairobi,
kadoda11 , Livale
 
Kenyatta in Sudan for a state visit as soon as magufuli is in kenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] he totally doesnt like that guy
Sema tunawaomba wakenya watusaidie kumpima afya ya akili kwenye mahospitali yao kwa sababu naamini angeweza kufanya vizuri zaidi bila makosa yasiyo ya msingi " my be samesing long is in he brain "
Hehehe jameni mbavu zangu....nimecheka kama chizi.
JPM Karibu Kenya, naona anategemea kutembelea viwanda Thika. Ina maana atatumia flyover za barabara kuu ya Thika na atajifunza kitu.
 
No one hates you. Ni tabia yako mbovu inakufanya uwe katika kundi la kukosa. Sisi wa TZ hatunaga kinyongo na mtu. Lakini ukijishaua shaua na kujifanya uko juu wakati njaa inakutesa tuna kulipua tu.


Acha kudanganya humu............HATER NUMBER ONE!
Nionyeshe bandiko lako hata moja tu humu,lisilo na risala za chuki dhidhi ya Kenya na wakenya!

"Pretenders are worse than murderers!"
 
Acha kudanganya humu............HATER NUMBER ONE!
Nionyeshe bandiko lako hata moja tu humu,lisilo na risala za chuki dhidhi ya Kenya na wakenya!

"Pretenders are worse than murderers!"
Nioneshe thread ipi nimeweka yenye lengo la chuki juu yenu?
Ile misifa ya kijinga na kuiponda TZ ndio inatufanya tuoneshe mabaya yenu.

Kwani umeona tukiisema Uganda?
Ukiwa mstaarabu na sisi pia tutakuwa wastaarabu. Ukiwa bandidu sisi ni zaidi. Ndio maana sasa unalia lia kwamba TZs hate Kanyans.
 
Yeah kenya and half of africa
But forget about TZ is a free country. Hatuamuliwi na wazungu tuongee lugha gani.
Kwa kifupi kujisifu kuongea lugha ya uingereza ni ushaba fulani na ni uboya pia.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Nishakuambia "pretenders are worse that murderers"............kinachowauma tunakielewa!
Mwaponde waganda wana nin cha ziada?.
TUNAWATISHA KWELI KWELI.......πŸ˜›πŸ˜›NA BADO, sio nyie tu, Afrika yote na Dunia kwa jumla!
Ama kweli ,mti wenye matunda,milele hupigwa mawe.
 
But forget about TZ is a free country. Hatuamuliwi na wazungu tuongee lugha gani.
Kwa kifupi kujisifu kuongea lugha ya uingereza ni ushaba fulani na ni uboya pia.

Free country my foot!...nyote mmemilikiwa na malkia hapo awali na bado pia mnamilikiwa na IMF,Worldbank,super powers etc.
 
But forget about TZ is a free country. Hatuamuliwi na wazungu tuongee lugha gani.
Kwa kifupi kujisifu kuongea lugha ya uingereza ni ushaba fulani na ni uboya pia.
Yeah... mnakula albino juu mnaamini wana wapea pesa!!....sawa jibambe
 
Kah!! Kenya inamatunda gani!!!? Hebu nioneshe na mimi nijue.
Nijuavyo Kenya inasifika kwa wizi hapa Africa. Inasifika kwa njaa hapa hapa Afrika
Inasifika kuwa na watu weusi kama mkaa.
Inasifika kuwa na watu wenye sura mbaya na kuwa vichwa vyenye maumbo ya kusadikika kama umbo la kichwa cha yule mzee Musyoka
Kenya inasifika kuwa na wanaume wanaogongwa na wake zao.

Nioneshe matunda ya kenya ya kupelekea tuwe na wivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…