Tanzanian president Magufuli cancelled railway project due to massive corruption

Tanzanian president Magufuli cancelled railway project due to massive corruption

danymTZ

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
376
Reaction score
575
magufuli111-768x503.jpg

Tanzanian President Magufuli has cancelled a $7 billion standard gauge railway project because it was bloated with corruption by the previous government and Chinese contractors. The new project will be worked on between Tanzania and Turkey at almost a half the price.

Source: African Leadership Magazine
 
Na hao Waturuki wakishindwa itakuwaje? Wao kwao wana matatizo kibao!
 
Kiongozi tumempata. Haya siyo maamuzi ya mchezo. 7 billion$
Wabongo kwa kudanganyika kirahisi!!!! Nafikiri wanaongoza duniani.Huyo magu anataka kiki za kipuuzi.Awadanganye hao,hao wadanganyika wa Lumumba. Yeye alikuwepo katika serikali iliyopita. Kwanini hakuupinga huo ufisadi?sio kwamba alikuwa haujui. Kama kweli yeye ni mpinga ufisadi, tunataka awawajibishe kisheria hao viongozi wa serikali iliyopita.Kama hawezi asituletee unafiki wake hapa,aupeleke unafiki huko lumumba kwa wenzie.
 
Pengine hio hela ishalipwa, hakuna issues hapo..
 
Wabongo kwa kudanganyika kirahisi!!!! Nafikiri wanaongoza duniani.Huyo magu anataka kiki za kipuuzi.Awadanganye hao,hao wadanganyika wa Lumumba. Yeye alikuwepo katika serikali iliyopita. Kwanini hakuupinga huo ufisadi?sio kwamba alikuwa haujui. Kama kweli yeye ni mpinga ufisadi, tunataka awawajibishe kisheria hao viongozi wa serikali iliyopita.Kama hawezi asituletee unafiki wake hapa,aupeleke unafiki huko lumumba kwa wenzie.
Ur IQ seems to be too low
 
Back
Top Bottom