Tanzanian traditional local foods

Tanzanian traditional local foods

Kimanga
FB_IMG_17158081044963853.jpg
 
Sio kweli ukigonga ugali na dagaa wenye mafuta mengi utakunywa maji ka kiboko.[emoji57]
Mafuta hayachagizi unywaji mwingi wa maji bali chumvi nyingi, sukari nyingi na kiasi kikubwa cha protini ndiyo chanzo cha unywaji wa maji unapokuwa umekula aina fulani ya vyakula.
 
Hivi Pilau au biriani ni ya kiasili cha Tanzania? Mwe mie nahisigi kama ni ya kihindi au ikimombasa zaidi. Ahsanteni kwa elimu.
 
Hivi Pilau au biriani ni ya kiasili cha Tanzania? Mwe mie nahisigi kama ni ya kihindi au ikimombasa zaidi. Ahsanteni kwa elimu.
Siyo vyakula vyote vilivyopostiwa ni vya asili pekee bali vingine ni vyakula maarufu na vinavyopendelewa kuliwa na jamii zetu hivyo huwa sehemu ya utamaduni wa mtanzania
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Una hakika umeufuatilia uzi wote huu na picha zake zote tokea nilipoanza kupost nakuja na hiyo judgement ya asilimia au just unani-challenge?
Chapati asili yake ni wapi? Chips,wali,ngano, umefatilia asili ya vyakula hivyo ni wapi? Na vimeanza kutumika hasa Wakati Gani?

NB : Africa hatukuwa na vyakula viitwavyo chips hivo ni america kaskazini huko. Wala si hitaji mdahalo mkuu amini unachoamini
 
Labda wewe kwako chakula cha asili ni cha namna gani?
Mkuu uhakika kabisa tikiti ni tunda asili hapa Tanzania?

Mimi Kwa uelewa Wangu na nilivyo kuelewa ulimnlanisha chakula asili na Cha utamaduni wa mtanzania.

Hivyo nilitegemea kuona makande,mtori,viazi,ugali nk.

Mfano huku usukumani Kuna mboga kama msasa
Mgagani,kisamvu, Kuna vingi nafahamu kilugha tu na si Kwa kiswahili. Seriously kabisa utumbie tambi au chapati ni utamaduni wa mtanzania? Chips Ili Hali Kuna watu Hadi Leo hii hawakijui mkuu!!

Uliza mtanzania yeyote kuhusu ugali au makande nani asiyejua? Uliza kuhusu tambi watu wa vijijini hukoo.
 
Chapati asili yake ni wapi? Chips,wali,ngano, umefatilia asili ya vyakula hivyo ni wapi? Na vimeanza kutumika hasa Wakati Gani?

NB : Africa hatukuwa na vyakula viitwavyo chips hivo ni america kaskazini huko. Wala si hitaji mdahalo mkuu amini unachoamini
Ni rahisi tu, taja hivyo vyakula unavyohisi ni asili yetu na havijawai kupostiwa humu na pia ubandike na picha zake humu na kama uwezi kufanya hivyo..jua huna haki yeyote ya kunipangia cha kupost ikiwa mwenyewe huna mchango wowote kwenye uzi huu
 
Back
Top Bottom