Tanzanian traditional local foods

Tanzanian traditional local foods

Ugali maini
FB_IMG_17006291634972630.jpg
 
Tips

1. Unashauriwa kiafya kutumia mafuta ya kula yanayoangukia katika kundi la rangi ya kijani ili kuepukana na madhara ya cholesterol

2. Kula nyama[emoji39] haina madhara mwilini bali faida, ila tu achana na mambo ya kukaangiza, kuchoma au kuongeza mafuta mabaya kwenye nyama.

3. Mwisho, chunga sana mdomo wako. Acha Ulafi wa kula kula, matumizi ya sukari, chumvi nyingi na mafuta mabaya ndiyo adui yako mkubwa.
FB_IMG_17008634984026599.jpg
FB_IMG_17008641414465585.jpg
FB_IMG_17008637461259199.jpg
FB_IMG_17008640027376202.jpg
 
Back
Top Bottom