That's truth manSiasa
Serikali ilitakiwa isimamie mipango miji yake ila yaogopa sanduku la kura
naunga mkono hojaKiukwel Tz unplanned housing ni tatizo kubwa ni bora kuwa na slums za mabati au maboksi kama kule kibera kuliko kuwa na nyumba bora lakin ziko unplanned, sababu slums kama za India,Kenya na southafrica au kule Namibia, zimejitenga na city au towns hivo miji inavutia kiasi flani lakini Tz is to much unplanned housing is all over tha city , NB Mimi ni mtz halisi with a huge travel experience, pia open minded ,sijaponda Tz am stand on truth right??;'
Unajua sums zipi nchi nyingi hats some development countries utazikuta mfano hata pale Hongkong kuna slums likin zimejitenga sana , Tz tatizo kubwa ni CCM politicsSiasa
Serikali ilitakiwa isimamie mipango miji yake ila yaogopa sanduku la kura
"unplanned housing is all over that city" ..,unamaanisha Dar ,Arusha ama wapi? Lakini ni ukweli planned cities ni bora unapata zones za middle class,pricey highrise zones ,ranch style zones ,rusty mabati zones ...etcKiukwel Tz unplanned housing ni tatizo kubwa ni bora kuwa na slums za mabati au maboksi kama kule kibera kuliko kuwa na nyumba bora lakin ziko unplanned, sababu slums kama za India,Kenya na southafrica au kule Namibia, zimejitenga na city au towns hivo miji inavutia kiasi flani lakini Tz is to much unplanned housing is all over tha city , NB Mimi ni mtz halisi with a huge travel experience, pia open minded ,sijaponda Tz am stand on truth right??;'
Kiukwel Tz unplanned housing ni tatizo kubwa ni bora kuwa na slums za mabati au maboksi kama kule kibera kuliko kuwa na nyumba bora lakin ziko unplanned, sababu slums kama za India,Kenya na southafrica au kule Namibia, zimejitenga na city au towns hivo miji inavutia kiasi flani lakini Tz is to much unplanned housing is all over tha city , NB Mimi ni mtz halisi with a huge travel experience, pia open minded ,sijaponda Tz am stand on truth right??;'
Acha kuita matako makalio unplanned housing ni slums across the country
Wewe ndio unajua hivyo lakini kwa mantiki ya muonekano hali ni ile ile ya hovyo japo sio lazima yawe duniBro if you are not a professional in this, GPS, it's better you remain silent.
Those are two different terms.
It's like mass and weight speed and velocity in physics. One can use them synonymously, but are not the same.
Wewe ndio unajua hivyo lakini kwa mantiki ya muonekano hali ni ile ile ya hovyo japo sio lazima yawe duni
Huu ni ukweli. Unakuta nyumba nzuri ila haziko kimpangilio.Kiukwel Tz unplanned housing ni tatizo kubwa ni bora kuwa na slums za mabati au maboksi kama kule kibera kuliko kuwa na nyumba bora lakin ziko unplanned, sababu slums kama za India,Kenya na southafrica au kule Namibia, zimejitenga na city au towns hivo miji inavutia kiasi flani lakini Tz is to much unplanned housing is all over tha city , NB Mimi ni mtz halisi with a huge travel experience, pia open minded ,sijaponda Tz am stand on truth right??;'
Hiyo ni kujifariji tuu uswazi ni uswazi tuI'm arguing professionally, siyo kama mazungumzo tu ya kwenye vijiwe vya gahwa. Kumbuka, cross sectional value of properties over the area is constant. That's the salient feature of a slum. Lkn kwa Tanzania kitu hicho hakipo.
katika nyumba mia moja, unakuta ni moja tu ndio nzuri yenye hadhi.Huu ni ukweli. Unakuta nyumba nzuri ila haziko kimpangilio.
Naona umeamua kubisha tu.katika nyumba mia moja, unakuta ni moja tu ndio nzuri yenye hadhi.
So this means its true when we say Dar is in reality NOT the biggest city in East Africa .Ukweli ni kwamba Dar is just bigger in population but not in residential and corporate developments.You are right brother.
Most of big cities comprise about 75% of unplanned settlements. Bt small towns like Singida, babati, dodoma, mtwara, lindi, boma ng'ombe, mpanda, katavi, kidogo songwe, geita, kahama etc are doing good.